Content wanazopenda TCRA ni mapenzi,umbeya wa wasanii na maisha hata siku moja siawahi kuona za kuchunguza wanyama masaa 180

Content wanazopenda TCRA ni mapenzi,umbeya wa wasanii na maisha hata siku moja siawahi kuona za kuchunguza wanyama masaa 180

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,524
Hii nchi yani anaweza msanii kukosea ndani ya siku hiyo mpaka wiki inakwenda ni mwendo wa media uchwara kudili na mada hiyo.

wajifunze swahili Max kuna jamaa alikufa mara 6 sasa nasikia huyu jamaa anaweza kwenda kimataifa wanasayansi na wenye nguvu zao wakamfata.Sasa tujiulize swahili max na online uchwara wameona.
 
Umesahau pia nyuzi za kusifia hata kama umesifia ujinga!
 
  • Kicheko
Reactions: Fbn
Back
Top Bottom