Contact za Freeman Mbowe

Contact za Freeman Mbowe

kamsongole

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
111
Reaction score
15
kama kuna mtu anafahamu contact za makamanda Freeman Mbowe na Dr Slaa naomba anisaidie tafadhali. ahsante sana.
 
mkuu nenda kwenye lile danguro la DJ utampata
 
Mtafute Ludovick atakupa mpaka mipango kazi yao!
 
mkuu nenda kwenye lile danguro la DJ utampata

Tumekuelewa mheshimiwa ulivyo.
ImageUploadedByJamiiForums1366920023.500757.jpg
 
Atakuwa tyson km sio basi nipe nayule na kama sia atakua nche*ba
 
Nahisi hizi tshirt zilikuwa designed kwa ajili ya mtu kama huyu kijana, huwezi ona amevaa RC au DC,wao za kwao ziko njema
 
Ya Ridhiwani,Makinda,Ngughai,Zitto,mkuu wa mkoa wa Arusha,Ludovic,Nchimbi zilitolewa wazi bila ya kificho na hao hao chadema mbona hapa mnasita kutoa hizo number na wengne wanakuwa wakali utadhni wengne kwao halali ila kwa hawa haramu? ?????
 
Ndiyo hopaje naomba unitumie contact za kamanda mbowe na dr slaa kama unazo maana naona nashambuliwa na wengine, kama huna hizo contact we nyamaza zako kimyaaaaaaaaaaaaaaa. tuma kwa namba hii 0689094172
 
Na kama kuna mtu mwingine anayo anitumie kwa namba hiyo hapo juu.
 
Back
Top Bottom