Consumption ya mafuta for 2000 cc cars

Consumption ya mafuta for 2000 cc cars

Radical

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2009
Posts
374
Reaction score
44
Hi wadau naomba kufahamu fuel consumption ya gari yenye CC 2000 (premio)..pia kama una data za other cars like starlet please nitashkuru!
 
Acha uoga. We tafuta lolote tu hata 3000cc halafu komaa nalo. Mambo ya kukaa kwenye viberiti na vibebiwalker yamepitwa na wakati. Utumia wa mafuta ni discipline yako tu. hata kama una cha 1000cc halafu unakata mitaa kama dereva wa daladala utaenda ngoma draw na jamaa wa 2000cc lakini anatoka akiwa na sababu za msingi. "Im watching you ha ha ha ha"
 
Acha uoga. We tafuta lolote tu hata 3000cc halafu komaa nalo. Mambo ya kukaa kwenye viberiti na vibebiwalker yamepitwa na wakati. Utumia wa mafuta ni discipline yako tu. hata kama una cha 1000cc halafu unakata mitaa kama dereva wa daladala utaenda ngoma draw na jamaa wa 2000cc lakini anatoka akiwa na sababu za msingi. "Im watching you ha ha ha ha"

am just thinkngning kama ungekuwa uko katika nafasi ya maamuzi ya juu ungeweza kuwaambia mawaziri wa tanzania kutumia gari ndogo kwa safari zao za jijini.? au ungewawezesha hata kuagiza ma hammer?
 
Acha uoga. We tafuta lolote tu hata 3000cc halafu komaa nalo. Mambo ya kukaa kwenye viberiti na vibebiwalker yamepitwa na wakati. Utumia wa mafuta ni discipline yako tu. hata kama una cha 1000cc halafu unakata mitaa kama dereva wa daladala utaenda ngoma draw na jamaa wa 2000cc lakini anatoka akiwa na sababu za msingi. "Im watching you ha ha ha ha"

nyie ndio watu munaokera hapa jf. angalia mshkaji anauliza nini anatafuta elimu weye unampindisha kwa makusudi? play it in a rightway or stay silence
 
Kawaida ni kama Km 10/Litre hapo ni kwenye barabara ambayo hakuna foleni na speed isiwe chini ya 80 Km/h.
 
kwa staret utainyoi,sehemu yoyote with fulltime AC inatumia si chini ya km 20/litre kama haijachonolewa pi unaweza kujaribu hata escudo ambazo hazina engine ya v6
kwa gari ya cc 2000 itakuumiza kama ni ndogo such us crestar,mark II and etc,kama ni kubwa mfano wa pic up itakuwa sawa
hali ni ngumu na usafili ni lazima lazima tuishi kijasiliamali
 
suala la matumizi ya mafuta linasababishwa na mambo yafuatayo.
- mzigo ambao gari umebeba.
- upepo katika tairi, upepo mdogo tairi inapelekea kufanya resistance na barabara hence gari inakunywa mafuta.
- upepo kupitia windows: unapotembea ktk speed fulani madirisha wazi upepo unafanya resistance na kuifanya gari kujilazimisha kusonga mbele. mafuta hayo mzee.
- the use of ac.
- high speed driving: mwendo zaidi ya speed 80/h si tu unahatarisha usalama wako bali unaongeza matumizi ya mafuta.
- vijibwa. unapoondoa gari kwa kasi inapelekea kulazimisha msukumo wa mafuta katika njia zake na kutanua baadhi ya viungo. baada ya muda gari inaona huo ndio utaratibu wake.
 
suala la matumizi ya mafuta linasababishwa na mambo yafuatayo.
- mzigo ambao gari umebeba.
- upepo katika tairi, upepo mdogo tairi inapelekea kufanya resistance na barabara hence gari inakunywa mafuta.
- upepo kupitia windows: unapotembea ktk speed fulani madirisha wazi upepo unafanya resistance na kuifanya gari kujilazimisha kusonga mbele. mafuta hayo mzee.
- the use of ac.
- high speed driving: mwendo zaidi ya speed 80/h si tu unahatarisha usalama wako bali unaongeza matumizi ya mafuta.
- vijibwa. unapoondoa gari kwa kasi inapelekea kulazimisha msukumo wa mafuta katika njia zake na kutanua baadhi ya viungo. baada ya muda gari inaona huo ndio utaratibu wake.

This is educative. Thanks
 
Back
Top Bottom