Constipation from drugs.

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,517
Ndugu zangu nimepewa dawa za kutibu tatizo nililoaambiwa ni AMIBA...lakini nadhani katika moja ya dawa nilizopewa ni za kuzuia kuendesha jambo ambalo kwa kweli linanipelekea kupata choo kigumu sana ( constipation) sasa nashindwa kuelewa ni dawa ipi kati ya hizi ni nisiitumie lakini tatizo langu la amiba liondoke.
ee828d1be4d1b8b0b55b274623bb7889.jpg
441d0b18c191d17931bf42cef9900ea9.jpg
1c41dec12bca8486cd962e98bf243d54.jpg
 
Back
Top Bottom