Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Sheria za JF haziruhusu kupeana link kama hizo hapaSalaam nyingi sana wana Jf,
Ni ukweli uliowazi kwamba, kadri miaka inavyozidi kusonga mbele, teknolojia nayo inakua kwa kasi sana, mitandao ya kijamii nayo inashika kasi kuendana na mabadiliko bila kuisahau Jf nayo pia.
WHATSAPP , Telegram , Facebook , Instagram , Twitter n k
Imekua ni mitandao inayotumiwa na mamilion ya watu kuonganisha watu kazi , biashara na elimu mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti duniani
Leo nilikua naomba watu wapeane connection za makundi mbali mbali ya biashara huko mitandaoni ambayo ni reliable , naamini kupitia uzi huu utasaidia mtu au watu kwa njia moja ama nyingine
Ahsante
Ahsante, ila nilichomaanisha sio zile link, bonyeza hapa ujiunge na group.Sheria za JF haziruhusu kupeana link kama hizo hapa
Hapo sawa sawaAhsante, ila nilichomaanisha sio zile link, bonyeza hapa ujiunge na group.
Bali connection...
Kuna kundi lina hivi na vile , reliable .. something like that.
Kwa matuta yetu Tanzania na njia hz.kitawezaSMART CAR/MOBILE PHONE KIT FOR LESS
/www.amazon.co.uk/b?_encoding=UTF8&tag=shoppers2022-21&linkCode=ur2&linkId=f1032c95844a6f7f96ebeea21fbdf28c&camp=1634&creative=6738&node=3030781"]Amazon.co.uk: Car & Vehicle Electronics: Electronics & Photo: Accessories, Car Electronics, GPS Devices & More">SMART[/URL]
View attachment 2447877View attachment 2447878
View attachment 2447879
View attachment 2447881
View attachment 2447882
BUY ORIGINA ANY PRECIOUS MOBILE PHONE KIT FOR LESSOROGINAL||UK, GERMAN, FRANCE, USA|| CLICK ON THE LINK ON THE TOP
Hao waliokaa pembeni ndio wanakudai?ukimuangalia kwa umakini huyo alievaa njano inaonyesha anajua kudai deni kikaraha sanaSource #1:
Source #2:
PIKIPIKI HII INAUZWA BEI NZURI
Wakuu ni matumaini yangu wote humu mko poa, kijana wenu baada ya salam nmekuja kwenu kuwapaa fursa ya pikipiki ninaiuza ni tvs150 ya blue ni gia 4 sio 5 ni zile za mwanzo mwanzo ni imara sana na bado iko na hali nzuri kama inavoonekana hapo kweny picha inapiga stata jino moja tu imewaka ni namba Mc 679 CBB ni mali yangu mwenyewe haina tatizo bali mimi ndo nina shida ya hera maana kimfaaacho mtu chake niliinunua kwa mtu nae alikuwa na shida nmetumia kwa mda wa kama mwaka mmoja baada ya kuinunua
Bei yake ni laki 9 na nusu ila ukiwa serious maongezi yapo, alieniuzia alikuwa anatumia kuendea tu kazini na kurudi ila baada mimi kuinunua niliifanya bodaboda, Docoment zake zote zipo kwa maana ya Kadi ya pikipiki mimi sio mara ya kwanza kufanya biashara hapa mtandaoni hasa hapa jf ninaishi dar kwangu mitaa ya Kinyerezi Kifuru unaweza kuja hata ukapaona kwangu napokaa na familia yangu pia nishauza vitu kibao tu na wala sina longolongo wala siuzagi vitu vyenye matatizo ni vyangu mwenyewe
nishawahi uza hapahapa jf na vyote nilipata wateja, kwaiyo niwaondoe shaka, Unaweza usihitji wewe lakini ukawa ndugu jamaa nna maafiki hata jirani yako pia. Asanteni na karibuni sana wahi usichelewe Kwa mawasiliano nichek call, sms na WhatsApp 0756695846 na 0712776823.View attachment 2453628View attachment 2453629
Uko vizur sana mkuu nashukur sana Mungu maana nmeshauza tayarHao waliokaa pembeni ndio wanakudai?ukimuangalia kwa umakini huyo alievaa njano inaonyesha anajua kudai deni kikaraha sana