Ndio kama unatumia pans na sufuria zake maalum. Jamaa kakata maelezo nusu ukitaka sufuria lako la aluminium utaenda Rwanda na kurudi msosi bado na unamaluza umeme woteNi kweli lina ufanisi kuliko jiko la gesi? Ni kweli linaweza kuwa economical kuliko jiko la gesi?
INDUCTION COOKER zinatumia sufuria zenye asili ya chuma (stainless steel) ni masuria tunayotumia majumba mwetu pia siyo watu wote wanaotumia mafuria ya aluminium (ambayo si salama kwa afya yako).Ndio kama unatumia pans na sufuria zake maalum. Jamaa kakata maelezo nusu ukitaka sufuria lako la aluminium utaenda Rwanda na kurudi msosi bado na unamaluza umeme wote
Ukweli ni kwamba kama unatumia sufuria ambayo siyo ya chuma stainless steel jiko linazima baada ya sekunde chache kwa maana hiyo utakuwa utumii umeme wowote wakati huo.Ndio kama unatumia pans na sufuria zake maalum. Jamaa kakata maelezo nusu ukitaka sufuria lako la aluminium utaenda Rwanda na kurudi msosi bado na unamaluza umeme wote
Mimi ninalo kwa zaidi ya miaka miwili na sijapata tatizo lolote.Pia lina option ya kuweka timer ili lizime baada ya muda fulani kuzuia kuunguza kama uko mbali.Hakuna aliyenunua atuletee mrejesho!?
Mkuu wanatuza shilingi ngapi hayo masufuria pamoja na bei za hayo majiko 2023.Kwa sasa wameleta sufuria zake ambazo ni imara zaidi zinaitwa Non stick pots.
Mkuu kama hutojali tuma na picha ya hilo lako basi.Mimi ninalo kwa zaidi ya miaka miwili na sijapata tatizo lolote.Pia lina option ya kuweka timer ili lizime baada ya muda fulani kuzuia kuunguza kama uko mbali.
kwetu ni 220V, mengi ni smart, yakipata umeme mdogo hayawaki kabisaMkuu nimecheki huko AliExpress, jamaa wanadai et ukiwekea umeme wa 110V linalipuka, hivi hapa kwetu ni ngapi asee.
Gas cooker iko fasta zaidi ya Induction, kwa gharama sikupata kupiga hesabuMkuu karibu, hivi haya majiko ukipata hilo sufuria la chuma ni kweli ni alternative ya gas.
Au jamaa wanafanya biashara tu.