Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Bandugu vipi kuhusu maujanja ya kuconnect kimagumashi divice ka cm inayosaport Wi-fi kwenye area yenye wireles intrnt connctn.
Nawasilisha!
Nawasilisha!
mh! Hii kitu naikutaga kwenye simu yangu lakini sijui matumizi yake,ngoja waje wataalamu watusaidie.!
simu ku support Wi-fi haimanishi inaweza uka conect kwenye wireless divice yoyote ile
Mara nyingi hospot zinakua na security key ila kama unafahamu security key au hapo ulipo hiyo hotspot haina key yoyote ile basi unaweza uka connect kwenye internet
Nasikuhizi karibu kilakitu kinasuport wifi "intelligent device"