Hao saa zote wako porini, walisettle lini hadi wakakusanya vitu namna hiyo kama si uporaji?
Na wale kule nyuma wanajisaidia nafaka...loooh, bazee bana kaazi kweli kweli.
inafanywa iwe hivyo makusudi mkuu il wenye meno yao wajilie ataratibu katikati ya moshi wa mabomu na risasi!lile haramia la kirusi/soviet....Victor Boutt mfano mmojawapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.