englibertm JF-Expert Member Joined May 1, 2009 Posts 9,252 Reaction score 6,210 Apr 8, 2013 #1 Kuna wanaume wamekimbia congo kutokana na kufanyiwa vitendo vya kunajisiwa na wanajeshi wa Congo source taarifa ya habari ya TBC1
Kuna wanaume wamekimbia congo kutokana na kufanyiwa vitendo vya kunajisiwa na wanajeshi wa Congo source taarifa ya habari ya TBC1
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,589 Apr 8, 2013 #2 unashangaa hilo mbona hadi wanakula watu wenzao vile viemoro vya kongo..
MD24 JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 745 Reaction score 254 Apr 8, 2013 #3 englibertm said: Kuna wanaume wamekimbia congo kutokana na kufanyiwa vitendo vya kunajisiwa na wanajeshi wa Congo source taarifa ya habari ya TBC1 Click to expand... Bado kuna vita tena huko? mbona War Lord Ntaganda wameshamuweka mikononi, sasa hizi story za vita zinatoka wapi tena?
englibertm said: Kuna wanaume wamekimbia congo kutokana na kufanyiwa vitendo vya kunajisiwa na wanajeshi wa Congo source taarifa ya habari ya TBC1 Click to expand... Bado kuna vita tena huko? mbona War Lord Ntaganda wameshamuweka mikononi, sasa hizi story za vita zinatoka wapi tena?
B Bukyanagandi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2009 Posts 11,626 Reaction score 18,227 Apr 8, 2013 #4 MD24 said: Bado kuna vita tena huko? mbona War Lord Ntaganda wameshamuweka mikononi, sasa hizi story za vita zinatoka wapi tena? Click to expand... Mkuu kumbuka kuna mbinu nyingi za kueneza habari potofu - misinformation, kumbuka hata jamaa wa Rwanda (usalama) wamo humu kwa madhumini hayo hayo.
MD24 said: Bado kuna vita tena huko? mbona War Lord Ntaganda wameshamuweka mikononi, sasa hizi story za vita zinatoka wapi tena? Click to expand... Mkuu kumbuka kuna mbinu nyingi za kueneza habari potofu - misinformation, kumbuka hata jamaa wa Rwanda (usalama) wamo humu kwa madhumini hayo hayo.