Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Hoja ya Katiba Mpya
The President is not very clear, or lacks definitiness of purpose and authority in his statements thus ending up confusing everybody on what he actually stands for!
- Waziri anayehusika / Mwanasheria Mkuu wa Serikali - Nchi haiko tayari kwa sasa na hatuna uwezo, na isitoshe iliyopo inatosha tu kufanyiwa malekebisho
- Rais - Umefika wakati muafaka katiba ibadirishwe ili itufikishe kwenye miaka mingine 50 ijayo
- Waziri aneyehusika / Mwanasheria Mkuu wa Serikali - Ni lazima tulipe na hakuna jinsi tunaweza kukwepa kulipa
- Rais - Lazima tulipe, halafu baadaye - hili deni ni kubwa mno lazima tutafute namna ya kulipunguza ama kulifuta kabisa.. Wanaohusika watafute jinsi ya kulipunguza deni hili au kuepusha taifa lisilipe
- Waziri anayehusika - wote waliovamia hifadhi ya barabara lazima waondoke kwa gharama zao na wakishindwa serikali itawabomolea na kuwalazimisha kulipia gharama zitakazotumiwa na serikali katika bomoa bomoa hiyo
- Waziri Mkuu - inabidi isitishwe kwanza
- Rais - Bomoa bomoa iko pale pale lakini muangalie namna (ili kusudi watu wetu wa karibu wasiathirike ila walala hoi hao hakuna shida). Kwa maneno mengine Rais anataka watendaji wake wapindishe sheria ikibidi....
The President is not very clear, or lacks definitiness of purpose and authority in his statements thus ending up confusing everybody on what he actually stands for!