Nadhani wengi hapa mnaandika kwa kudhani sio kwa kumjua Mrema. Kufanya kazi serekalini sio lazima uwe kibaraka. Unaposema hana jipya si kuelewi, kama unamjua, ameshakuja na mapya mangapi na hao wengine wana mapya gani. Tusifate mkumbo tuandike tuliyo na uhakika nayo.