I am amazed at all the open hostilities directed against this young man – Januari Makamba – who, as far as I know, has done absolutely nothing wrong to deserve such thinly veiled personal attacks. He is not an MP yet, but the heavy guns have been turned against him already demanding to know what he has done for Bumbuli.
As a practical matter, that question should be directed to the incumbent MP, if anyone. Bumbulians should ask, (make that demand to know) what the current MP has done for Bumbuli and furthermore, what he is planning to do if the voters elect him to server for another five year term. It is the right thing to do. As an incumbent MP, he now has a record to defend and should therefore bear the full brunt of these ad hominem attacks, not young Januari Makamba.
If the Hon MP fails to defend his record to the satisfaction of Bumbulians, that should be sufficient grounds to send him packing with his tail between his legs and give the young man or someone else a crack at Mjengoni. Five years from now, the shoe will be on the other foot; Januari should be subjected to the same scrutiny. That's the way it should be from now on. The Tanzania electoral landscape has metamorphosed. The days when MPs used to take their voters for granted by making empty promises and sugar-coating their record, are now a historical footnote. A new paradigm is now gaining traction: we expect our Hon MPs to earn their stripes like everybody else in real life.
Young (and smart) Januari does not have to have done anything for Bumbuli to be considered a suitable candidate for the Parliamentary seat; if he has, that should be the icing on the cake. When campaigning begins, he should only be required to articulate his vision to his constituency and the legacy he wants to leave behind after serving. If that is consistent with Bumbulians wishes and expectations, that is all that matters, period.
By the way, the same logic and courtesy should be extended to candidates running in other constituencies such as (are you ready for this?) Kyela, where, as you may all vividly recall, Mwakalinga quickly became a target of much vitriol and brouhaha from supporters of the incumbent MP the moment he had the cheek or chutzpah to declare his intention to run in this year's Parliamentary elections. We in JF are like inveterate cannibals; eating our own kind is quickly becoming a favorite JF pastime!
Kumbe zile interviews na Dewji zote zilikuwa maandalizi tu?
January Makamba ni Mkapa squared katika kujisikia.
Alishawahi kusema "A million flies cannot be wrong, they eat shit"
Akiwabeza watanzania wanaoipigia kura CCM, kwamba they get what they deserve and therefore they cannot be wrong.CCM is shit and they are happy with it. Ni maneno aliyosema publicly, wakati huo of course alikuwa anasoma George Mason.
Ni courtesan tu anayejua kupanda ngazi za court za wakubwa, kama baba yake. Lakini hamna principle wala leadership hapa.Kazi kujiuza kama msomi wakati hamna lolote.
Msomi hawezi kukubali kufanya kazi katika Ikulu ya Kikwete, maana inaharibu reputation ya watu wote wanaofanya kazi pale.
Huyu ni social ladder climber tu.
tuwe wakweli kidogo,wangapi wana uwezo wa kukataa offer ya kufanya kazi ikulu??au ushabiki tu?
- Mkuu Januari tunataka vijana waingie kwenye uongozi, safi sana tupo tunaothamini juhudi zako za kujaribu kuingia kwenye system ili usafishe uozo, saafi sana na vijana wengine waige jamani!
- Vijana wenye wivu na msioweza ushoka poleni sana! maana sio siri ni wengi sana humu!
Respect.
FMEs![/QUOTE
Juhudi gani hasa ambazo mkuu FMEs unaoziongelea kuwa unazithamini za Janaury Makamba kwa watz?Ni hizi juhudi zake za kuwa mshauri wa Rais JK au kuna juhudi zingine unazozijua wewe!
Tufikie hatua akina FMEs basi muwe mnatutajia sifa za Januarya hasa kutuambia wazi kuwa alipokuwa mshauri wa JK kwa miaka 5 sasa kafanya nini kwenye ushauri wake kumuendeleza mtz!
hapa kuna matatizo mawili makubwa
la kwanza nilishalitaja hapo awali nalo ni immaturity ya baadhi ya wachangiaji au members wetu ambao kwa kiasi kikubwa huwa wako driven by hate na envy badala ya kujenga hoja kumjenga au kumbomoa mtu basi why not isitumike hoja badala udini na background ya mtu?
Humu ndani mmmoja kati ya makamanda wetu hapa jf ni william malecela ambaye if anything regardless whether mnakubaliana naye au hamkubaliani naye lakini we always judge his views lakini si kwa sababu ni mtoto wa mzee malecela.
Sasa tatizo la january ni kuwa na baba ambaye ni mwanasiasa ambaye in one way or another kutokana na nafasi ambazo aliwahi kushika au anashikilia amekuwa vocal na saa zingine wengi hawapendezwi na anayosema kama ambavyo wengine hawapendezwi na aliyokuwa akisema mzee malecela. Nitakuwa mjinga sana kama nikatumia criteria hiyo kama kigezo cha kumcriticise not only william bali january, ridhwani na wengine ambao walizaliwa kwenye hizo family by birth.
Sababu ya pili nadhani inatokana na frustrations ambazo zinatokana na portrait halisi ya tanzania's new ruling class na kwa mitazamo ya wengi humu jf kundi hili ni arrogant, out-of-touch alliance of mps and other insiders who ruthlessly pursue their own interests, ignoring the public good na hizi zinaleta hii new jf phenomenon ambayonaweza kuiita januaryphobia au sijui tuiite makambaphobia (maana naona hata dada yake bi mwamvita has always been on firing line from some members wa jf )
tunajua kuwa tangu mwinyi aingie madarakani na kuanguka kwa ukomonisti mambo mengi yamebadilika tanzania na kumekuwepo kwa tofauti kubwa sana za kijamiii na if anything tanzania ya leo si ile yenye tofauti kati ya wajamaa dhidi ya mabwanyenye bali ni naweza kusema kuwa tunachokiona hapa ni division is between a narrow, self-serving and - increasingly corrupt political class and the mass of ordinary wananchi au walalahoi na kuelewa how modern day tanzanian politics zinavyofanya kazi ni muhimu kujua sinificance ya old establishment ya the sykes,nyereres,bomanis, rupias and so on hivyo tusijidanganye na i will say it...today it is impossible to grasp how power operates without understanding the nature of this political class in tanzania.
Lets face it, hii political class yetu ni metropolitan na ni dar-based. Hivyo its obvious kuwa members wake wana perceive life through the eyes of a member of dar es salaam's affluent middle classes ambao wengine wanashinda humu jf. Na hii inawabadilisha kuwa separate, privileged elite kama the shelukindos, ambao wako isolated from the aspirations and the problems of provincial, rural tanzania....na mbaya zaidi ni kuwa as standards of decency, morality and education spiral ever downwards kwenye majimbo na mikoa mbali mbali tanzania, we are rapidly acquiring an electorate kama ya aliyeleta hii thread ambayo ni incapable of rational thinking beyond anything that does not put udini au uzushi kwenye kujenga hoja zao!
Lets face it sasa hivi we are ruled now by this elite of time serving self-advancing bureaucrats and placemen. Kundi hili la akina shelukindo ndilo lina form the same social class, have the same values, the same goals and aspirations (money and power). Sasa kama kuna watu wapo ambao wanataka kubreak hii circle be it ni mnyika or january makamba or zitto then beit sie wengine tushachoka lakini kwa mtizamo wangu ni kuwa hawa old shelukindos, kigodas, rupias they are exactly the same, pigs swilling in the same trough.
By the way i'm not sure how dirty huyu shelukindo wants to play it kwani naona gloves are off na its just a matter of time watu waka chose sides ili tujuane ni akina nani wanataka change na akina nani wanataka kuendelea hili kundi la wazee walioishiwa
Kwanza sio kweli kumpinga January Makamba kama hafai kuwa Mbunge wa jimbo lolote la tz ni wivu wa kisiasa kama ambavyo baadhi ya wana JF akiwemo Game Theory anataka kuonyesha!Kumpinga mtu kwa points endelevu ni haki ya msingi na ya kikatiba tena ya kila MTZ ili mradi asitumie lugha zisizofaa!
Kwa maono yangu,inaonekana Game Theory na FMEs mnaujua sana utendaji wa kijana January Makamba hadi mkafikia kusema kuwa "juhudi zake" mnazithamini sana lkn sijaona sehemu hata moja mkizitaja hizo juhudi zake ni zipi na zina manufaa gani kwa maendeleo ya watz!!
Kwa mfano hadi sasa sasa kwenye articles zenu zote za kumtetea Kijana January bado hujanionyesha kwenye nafasi yake kama mshauri wa Rais wa Jamhuri wa TZ kafanya nini kuwaletea maisha bora watz na jimbo analolimezea mate la Bumbuli?
Kama hamna lolote la maana alilofanya kwa miaka yote 5;ama alilobuni au kushiriki kuwapa maendeleao waTZ hasa wana Bumbuli tutaamini vipi sasa akija kuwa mbunge ndiyo atacharuka na kuwa eti "creative" zaidi ya wabunge wengine"mizigo" wa CCM?
Kitu kingine ambacho tunatakiwa tukijue hapa ni kuhusu vijana wanaotakiwa kuingia ndani ya Bunge.Ni kweli tunahitaji vijana wagombee ubunge lkn sio kila kijana anafaa kuwa mbunge.Kumbuka kuwa Masha au Ngeleja ni vijana lkn wameshindwa kufanya kazi;sawasawa na January Makamba aliyeshindwa kufanya kazi ya ushauri wa Rais ili uwe na manufaa kwa watz wakiwemo wana Bumbuli.
January atuambie,kwa nafasi yake ya ushauri wa Rais kawafanyia nini watz?Haya maneno kama ni modern intelluctual wa chuo maarufu USA haina uhusiano wa kuja kuwa effective kuwahudumia watz kwani hata Chenge au Balal nao walisoma vyuo maarufu USA!
Tunataka rekodi ya uchapa kazi wa January Makamba kama mshauri wa Rais kwa miaka hii 5 ya utumishi wake,lkn hivi hivi kwa maneno yenu akina Game Theory na FMEs "sidanganyiki ng'o"
Talk about GT or let say FMES hawa ni watoto wa vigogo wapo hapa kuendeleza status quo. Don't say I said it.
- Duh! wote ni lazima tuimbe wimbo wako, tukijaribu kutoa mawazo tofauti na wewe basi ni watoto wa vigogo, what a Great thinking by a Great Thinker1 Bwa! ha! ha! ha!
es!
Humu ndani mmmoja kati ya makamanda wetu hapa JF ni WILLIAM MALECELA ambaye if anything regardless whether mnakubaliana naye au hamkubaliani naye lakini we always judge his views lakini si kwa sababu ni mtoto wa Mzee Malecela.
- Mkuu Januari tunataka vijana waingie kwenye uongozi, safi sana tupo tunaothamini juhudi zako za kujaribu kuingia kwenye system ili usafishe uozo, saafi sana na vijana wengine waige jamani!
- Vijana wenye wivu na msioweza ushoka poleni sana! maana sio siri ni wengi sana humu!
Respect.
FMEs![/QUOTEMalafyale
Juhudi gani hasa ambazo mkuu FMEs unaoziongelea kuwa unazithamini za Janaury Makamba kwa watz?Ni hizi juhudi zake za kuwa mshauri wa Rais JK au kuna juhudi zingine unazozijua wewe!
Tufikie hatua akina FMEs basi muwe mnatutajia sifa za Januarya hasa kutuambia wazi kuwa alipokuwa mshauri wa JK kwa miaka 5 sasa kafanya nini kwenye ushauri wake kumuendeleza mtz!
- Great Thinker, pole sana hivi kweli maneno yangu pale quote ya juu mbona yako wazi na very clear kwamba ninaheshimu juhudi zake za kupigania ubunge as opposed na rants zako ambazo ndio hasa chuki yenyewe na wivu, I mean zisingekwua basi ungesoma na kuelewa hoja kwanza kabala hujakurupuka, ninarudia kwamba ninaheshimu sana juhudi zake za kugombea ubunge now akiwa bado kijana sana.
- Great Thinker, ni lini Januari amewahi kuwa mshauri wa Rais, punguza chuki na wivu mkuu, unajua ukishakuwa na hayo matatizo sasa unakuwa hujali facts wala hoja wewe ni kurusha tu rants bila ukweli, pole sana mkuu tunatka vijana wagombee ubunge, kama wewe huwezi wapo kina Janurari wanaoweza! Next time fanya research kwanza kabla ya kukurupuka!
Respect
FMEs!
Quote:
Field Marshall ES
View Post
- Duh! wote ni lazima tuimbe wimbo wako, tukijaribu kutoa mawazo tofauti na wewe basi ni watoto wa vigogo, what a Great thinking by a Great Thinker1 Bwa! ha! ha! ha!
es!
Angalia hapa chini:
Quote:
Game Theory
View Post
Humu ndani mmmoja kati ya makamanda wetu hapa JF ni WILLIAM MALECELA ambaye if anything regardless whether mnakubaliana naye au hamkubaliani naye lakini we always judge his views lakini si kwa sababu ni mtoto wa Mzee Malecela.
It has got nothing about great thinkers or whatsoever. The truth and only the truth will set this country free.
Angalia hapa chini:
It has got nothing about great thinkers or whatsoever. The truth and only the truth will set this country free.
- Kumtukana Januari kwa sababu ni mtoto wa Makamba ndio the truth, na baadhi ya Great Thinkers kushauri kwamba hana haki kisheria kugombea ubunge kwa sababu baba yake ni Mkamba ndio the truth hito ya ku-set this country free! Duh! Great Thinkers sometimes bwana inatia kinyaa sana!
es!
- Wakuu naona mjadala umewaka moto, inapendeza sana, sisi wengine ngoja tuangalie kwa pembeni tu, ndugu yangu GT saafi sana naona unasimamia unachoamini, keep it up!
- Mkuu Wacha, mimi ndiye William Malecela, vipi kuna tatizo hapo?
Ahsante.
William.