Acha majungu wewe! Mtu kama akiwa mfanyabiasha akagombea ubungu basi mnamwita fisadi, nambie Aziz Abood ufisadi wake. Berluscon huko kwao ni mfanyabiasha na kiongozi, cha msingi 2natakiwa 2wabane viongozi wafanyabiasha wactumie madaraka kujinufaisha ktk maslahi binafsi