Huyu fisadi wa mabasi ya Dar Moro Mhe. Aziz Abood ameweza kutumia utajiri wake kununua wapiga kura. Ameshinda kwa kishindo kuwa mbunge wa CCM 20010-2015
Swala sio kushinda kwa kishindo waTZ wanataka viongozi wa kuwatumikia sio watu wa kusherekea/kushabikia ushindi. Nawaasa CCM kusoma alama za nyakati. Dhana ya kishindo imepitwa na wakati. Watu wanatarajia kuona madiwani wanawajibika zaidi sio kufanya kazi kwa mazoea.
Acha majungu wewe! Mtu kama akiwa mfanyabiasha akagombea ubungu basi mnamwita fisadi, nambie Aziz Abood ufisadi wake. Berluscon huko kwao ni mfanyabiasha na kiongozi, cha msingi 2natakiwa 2wabane viongozi wafanyabiasha wactumie madaraka kujinufaisha ktk maslahi binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.