Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Analyse

JF-Expert Member
Jan 19, 2014
16,439
41,490
Wasalaam wana jamvi.

Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.

Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??

Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.

Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).

Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.

Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.

Je kwa upande wako ilikuwaje??

Karibuni.
 
Mkuu malalamiko yapo,na sababu ni nyingi mno,ukiangalia kwa makini utagundua wanawake wanasema wanaume ndio chanzo,na wanaume wanasema wanawake ndio chanzo,ni mwendo wa lawama na kukomoana,ukiacha tamaa ya mwili na fedha,marafiki na baadhi ya ndugu wanachangia mno...pia mazingira ya kikazi na pia tabia husika ya mtu ni vitu vinavyotajwa mno,ni kwamba kwa familia ya leo,katika kila famila 10 labda ni moja tu au hamna kabisa ambayo mtu hachepuki,na hii inachangiwa na maendeleo ya technolojia yanayokua kwa kasi mno,na pia kupungua kwa maadili na kupungua kwa upendo kwenye nyumba zetu...ukiwa na hela,uwe mwanamke au mwanaume,ni ngumu mno kumkosa unaemtaka,hata awe mke au mume wa kiongozi wa dini,cha msingi dau lako lifike pale pale anapopataka.....
 
Bora hiyo Haya Maisha unaweza tembea na Mke na watoto wake, kuna siku niliandaliwa birthday na kademu, Ngoma sijakaa sawa naona Mke wa mtu anaingia na zawadi ambaye Nilikuwa natoka nae kumbe ni Mama wa Yule demu wangu ,Mambo ya makiss na mabusu demu akauliza unamjua nikisema ni Rafiki tu, Baadae kilichotokea niliamua kuendelea na Mama mtu
 
Nikiwa mwalimu shule moja za kata pwani tulifanikiwa kupata nyumba ya shule ambayo ilijengwa kwa ajili ya mkuu wa shule
Lakini h/master hakutaka kukaa hapo
Ni kwa mantiki hiyo tukiwa vijana watatu wa ualimu wa vodafaster tulipewa nyumba hiyo ambayo ilikuwa jirani sana na majirani zetu(wazaramo)
Kati ya hao majirani zetu kulikuwa na dada mmoja wa kirangi ameolewa na bwana mmoja hapo
Huyu jamaa alikuwa hakai hapo hivyo mkewe alikuwa anaishi na wakwe zake hapo
Dada huyu alianza uchokozi mwenyewe mala nikope hela mala nikitembelewa na girlfriend wangu anafanya visa anamwamkia shikamoo dada wakati demu wangu alikuwa mdogo sana kiumri kuliko yeye ambaye tayali alikuwa na watoto watatu
Nikipita ananitolea mimacho
Basi siku moja nikiwa chumbani akaja kupaa moto nikamwambia chukua tu hapo jikoni mi nasahihisha mitihani ya wanangu
Akainama uwiii mtoto anakalio la haja nikamchombeza mmeo anafaidi
Gafla nikamsogelea akageuka akiwa anatabasamu nilapapasa kalio akanishika kwenye flaizi ya suruali yangu nikaangalia kushoto kulia walimu wenzangu hawapo fasta nikampatisha sketi juu nikatelemsha pichu alichonijibu tu ni kwamba fanya upesi niende nikapike
Uwiii kilichofuata ni shooo safi ambayo sijapata kuona
HUO NDO USHUHUDA WANGU
 
nilikutana nae kwenye media fulani nikawa naumwa akanijali kuzidi bf wangu basi nilivyopona akanialika maeneo tukapiga glass kadhaa za wine nikarudi home ikawa mazoea tunatoka we have funny together na kunimwagia mapesa hapa kwa kweli aliniteka baada ya muda tukawa sehemu tulivu tunakula wine kama kawa akasogeza lips ndugu yangu nakaataaje wakati nishakula kama M fulani hivi nikatumia u fundi wangu wote kwenye kukiss hallo alidata na alikuwa hajui kukiss mshamba. na mi sema najua nilisisitiza ajali familia yake tu huku na mi anipe pesa muhimu .. nilimwacha alivyompa mkewe mimba sitaki dhambi mimi ya kutesa malaika wa bwana hasa wakiwa tumboni mwa mama zao.... mchepuko siyo dili baki njia kuu
 
Nikiwa mwalimu shule moja za kata pwani tulifanikiwa kupata nyumba ya shule ambayo ilijengwa kwa ajili ya mkuu wa shule
Lakini h/master hakutaka kukaa hapo
Ni kwa mantiki hiyo tukiwa vijana watatu wa ualimu wa vodafaster tulipewa nyumba hiyo ambayo ilikuwa jirani sana na majirani zetu(wazaramo)
Kati ya hao majirani zetu kulikuwa na dada mmoja wa kirangi ameolewa na bwana mmoja hapo
Huyu jamaa alikuwa hakai hapo hivyo mkewe alikuwa anaishi na wakwe zake hapo
Dada huyu alianza uchokozi mwenyewe mala nikope hela mala nikitembelewa na girlfriend wangu anafanya visa anamwamkia shikamoo dada wakati demu wangu alikuwa mdogo sana kiumri kuliko yeye ambaye tayali alikuwa na watoto watatu
Nikipita ananitolea mimacho
Basi siku moja nikiwa chumbani akaja kupaa moto nikamwambia chukua tu hapo jikoni mi nasahihisha mitihani ya wanangu
Akainama uwiii mtoto anakalio la haja nikamchombeza mmeo anafaidi
Gafla nikamsogelea akageuka akiwa anatabasamu nilapapasa kalio akanishika kwenye flaizi ya suruali yangu nikaangalia kushoto kulia walimu wenzangu hawapo fasta nikampatisha sketi juu nikatelemsha pichu alichonijibu tu ni kwamba fanya upesi niende nikapike
Uwiii kilichofuata ni shooo safi ambayo sijapata kuona
HUO NDO USHUHUDA WANGU
Tabia mbaya hiyo
 
Mimi ilinitokea mwaka 2006 nimeanza kazi ya ualimu manispaa moja hivi,yaan hiyo nyumba niliyofikia kulikuwa na wapangaji kibao aisee mimi nikapata chumba kimoja cha uani.Basi wanawake kibao wakawa wananitolea macho aisee kuna mama mmoja alikuwa Mkubwa zaidi yangu kama miaka 20 hivi huyu ndo nilimkwangua alinivutia kweli maana alikuwa mzuri zaidi ya wengine ila sasa mme wake alikuwa mkorofi balaa
 
Back
Top Bottom