Condom Companies.... what if....?

Condom Companies.... what if....?

Simon Adebisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2018
Posts
1,281
Reaction score
2,473
The world is full of secrets.... companies do terrible things to stay at profit...

Nimekaa nawaza makampuni yanayotengeneza condom lengo lao kuu ni kuuza kwa wingi wakijinasibu kuwa wanazuia maambukizi mapya kwa kiwango kikubwa....

Tumekuwa tukiambiwa tumia condom ili ujikinge na maambukizi ya HIV...

Sasa pata picha kuna kampuni ambayo yenyewe inaingiza faida kupitia kuuza ARV ina maana wao wanahitaji wagonjwa wengi zaidi wa hiv ili watengeneze pesa.....

What if hawa watu wameungana i mean wanaotengeneza condom wakituaminisha hatupati HIV huku wameingia mikataba na wauza ARV kuwa watengeneze condoms zinazozuia mimba tu but ziruhusu virusi vya HIV ili waathirika waongezeke na hivyo kupiga faida mara mbili....

Vuta picha hizi condom za misaada zinazotolewa africa ziwe zinaruhusu HIV kupenya makusudically ili waathirika waongezeke na mauzo ya ARV kupanda zaidi...

Sijui nani atasalimika
 
Kupata chanjo ya ukimwi inawezekana sana il shida sasa haya makampuni ya kutengeneza hivi vitu yatakufa sahau kwa hivi vitu
 
Yanawezekana hayo yote na yaweza yasiwezekane
kuna mdada anauza duka la dawa muhimu, siku nilimtembelea ofisini kwake ,katika stori za hapa na pale akadai biashara ngumu kwa hiyo wiki
Niliwaza sana moyoni , nikapata jibu huyu anatamani sana tena sana watu waumwe ili apate kuuza dawa
 
Sidhani kama maabara zinazoverify ubora wa condom ni zao tu,nadhani kuna mamlaka pia hujiridhisha,pia hata hapa kwetu nadhani TBS pia sana maabara ya kuangalia ubora
 
Sasa iwe nyepesi kuweza kupitisha damu ila iwe ngumu kuzuia manii..

Anyway, ndiyo maana nimeuliza
Ina maana huwezi pata HIV mpaka damu ihusike ? Au hata friction ndogo ndogo inaweza kusababisha virusi kuingia.... nielimishe hapo
 
Ni naomba kujua hivi ile ishu ya kontena za condom mpya kukutwa zikiwa na virusi,je ilikuwa kweli au stories za vijiwe vya kawaha?
 
Huo ni ukweli usiofichika,

BABII TITO SAYS kwambapiga kavu tu.
 
Ni naomba kujua hivi ile ishu ya kontena za condom mpya kukutwa zikiwa na virusi,je ilikuwa kweli au stories za vijiwe vya kawaha?
Inawezekana ni kweli mkuu ila wanacover tu watu wasigundue... lisemwalo lipo
 
Sidhani kama maabara zinazoverify ubora wa condom ni zao tu,nadhani kuna mamlaka pia hujiridhisha,pia hata hapa kwetu nadhani TBS pia sana maabara ya kuangalia ubora
Sio kweli TBS ni bendera kifata upepo ndio maana kila siku wao wamekua kama dalaja la kuvushia vitu vyenye athari kwa binadam kikubwa viwe vimelipiwa kodi tu.
 
Sio kweli TBS ni bendera kifata upepo ndio maana kila siku wao wamekua kama dalaja la kuvushia vitu vyenye athari kwa binadam kikubwa viwe vimelipiwa kodi tu.
Nakubaliana na wewe sidhani kama TBS wana meno ya kuzuia bidhas za mashirika makubwa
 
Nakubaliana na wewe sidhani kama TBS wana meno ya kuzuia bidhas za mashirika makubwa
Na huo ndio ukweli, kwan kuna bidhaa ngapi mtaani zipo chini ya kiwango tena zingine zikiwa zina athari kwa matumizi ya binadam lakini mwisho wa siku zipo na zina uzwa..
 
Sio kweli TBS ni bendera kifata upepo ndio maana kila siku wao wamekua kama dalaja la kuvushia vitu vyenye athari kwa binadam kikubwa viwe vimelipiwa kodi tu.
Achana hata na TBS lakini nilichomaanisha hata huko kwenye viwanda vya condom mfano USA wana regulatory body kama FDA(food and drugs authority)kuangalia ubora wake,sasa haiwezi kuwa ni suala na kiwanda na kiwanda kupanga njama na ikafanikiwa labda waamue kushirikiana pia na mamlaka husika, maana hakuna kinachoshindikana
 
Achana hata na TBS lakini nilichomaanisha hata huko kwenye viwanda vya condom mfano USA wana regulatory body kama FDA(food and drugs authority)kuangalia ubora wake,sasa haiwezi kuwa ni suala na kiwanda na kiwanda kupanga njama na ikafanikiwa labda waamue kushirikiana pia na mamlaka husika, maana hakuna kinachoshindikana
Hivi unajua ni kwa kiasi gani mzungu anamchulia mwafrica? Kwani ni vitu vingapi wanatuletea mf simu bandia lakini hawajali pale zitakapotulea cancer ya ubongo? hata uwepo wa ukimwi si kwamba ulikuja kwa bahati mbaya, rahasha.. ila ulikija kwa lengo la kumuua mwafrica na kuhusu suala la maslahi limekuja kama ziada tu.
 
Back
Top Bottom