Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
- Thread starter
- #81
Nakushukuru kwa kuona umuhimu wa uchambuzi huu katika kuandaa taifa letu la baadaye. Sasa tuungane kumwomba Dr Slaa aanzishe chama kitakachosaidia nchi yetu kurudisha umoja wa kitaifa na kendeleza vita dhidi ya ufisadi. Niatalifanyia kazi ombi lako la kuangalia nyanja nyingine za taswira za uchaguzi wa mwaka huu. Niliamua kujikita katika taswira tatu ambazo niliziona kuwa kubwa na zitasaidia watu kama Slaa na Wariona kutusaidia kuifanya nchi yetu iwe bora na yenye demokrasia ya kweli siyo ya usanii.Asante kwa uchambuzi ambao umenipa insights nilizokua sijazifikiria sana,hususan kuibuka kwa taswira ya "ukanda", kwa sababu ya ugeni wangu kwenye mambo ya siasa . Pamoja na hili, naona ungeboresha tathmini yako kwa kuangalia components zote za zoezi lote. Hizi ni kwa haraka haraka attributes za wapiga kura, wapigiwa kura, usimamizi wa uchaguzi,sheria na muktadha mzima ambamo uchaguzi huu umefanywa, na zinginezo. Matokeo ya tathmini ya hivi itatuwezesha kutambua maeneo mengi, kama si yote, yanayohitaji marekebisho.