computer yangu imezimika ghafla

computer yangu imezimika ghafla

erco6

Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
10
Reaction score
2
jamaani msaada computer yangu ni desktop imexika ghafla nimejalibu kuangalia nimeshndwa ambae anaujux anisaidie
 
imezima mara moja au inazima kila mara na baada ya muda gani?
kama nikila mara jaribu kuangalia ka feni inafanya kazi na joto lake na pia angalia kama kuna vumbi maeneo ya feni hua inaleta tatizo la kuzima mara kwa mara.
 
nikiiwasha inawaka taa tu but inakuwa umeme aufk kwenye fen maana atafen aizunguki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom