Inamda gani tangia ununue na unatabia ya kuazimishaHabari za Midaa Wadau!!!
Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto .
Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka
Adapter Iko gudi tu, ni Dell
Inamda gani tangia ununue na unatabia ya kuazimisha
Embu Nijib kwanza aya maswali kisha tupate ufumbuzi;Habari za Midaa Wadau!!
Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto.
Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka
Adapter Iko gudi tu, ni Dell
Umejuaje kama Adapter ipo sawa?
Na imegoma kuwaka ukibonyeza power button inafanyaje?
Umetoa battery na kuwasha kwa kutumia adapter?
Je Pc yako inatabia ya kupata moto sana wakati wa kuitumia?