Msaada
Nna pc angu aina ya hp imeniletea BOOTMGR missing, press cntrl+alt+de to restart lakin hata nikifanya hivo still inaonesha hivo. Baadae nikaiacha. Lakin nimekuja kuwassha haiwaki inonesha taa yakuonesha haina charge.
Msaada plz.
Ebhana mkuu mm Nina laptop Dell vostro nimeweka OS window 8 pia niliweka window 7 lakin haitoi sauti kwa nje lakin nikiweka earphones napata sauti kwa earphones lakin external sound ndio hamna msaada tafadhar
Ebhana mkuu mm Nina laptop Dell vostro nimeweka OS window 8 pia niliweka window 7 lakin haitoi sauti kwa nje lakin nikiweka earphones napata sauti kwa earphones lakin external sound ndio hamna msaada tafadhar
Nina laptop samsung min. Ile yenye solar panel imezima ghafla, charge inaonesha inaingia maana taa inawaka but haiwezi ku boot, nimetoa hard disk kuiweka kwenye pc nyingine ni nzima.ram ipo vizur. What might be the problem?
Nina laptop samsung min. Ile yenye solar panel imezima ghafla, charge inaonesha inaingia maana taa inawaka but haiwezi ku boot, nimetoa hard disk kuiweka kwenye pc nyingine ni nzima.ram ipo vizur. What might be the problem?