Nahitaji msaada wenu kujua kati ya computer science na comp enginering whing is the best kwa wale wa2 wa comp geeks,then chuo kipi ni bora kwa hapa bongo kwa hzo facult
mdau vp mambo yanakwendaje
cna aman kk mm naona kama vp nisiende kabisa nipige kaz nipate mkwanja niende zangu clinical officer japo mambo ya utabibu hayako moyon kikubwa nipate tu mkwanja na uhakika wa ajiraDogo "mbuzi Na Kuu" una presha sana mdogo wangu, mpaka unaamua kufufua nyuzi za zamani! wewe sasa huna jinsi, kasome tu hyo c.science. utaangaika kweli kudili na hawa watu
cna aman kk mm naona kama vp nisiende kabisa nipige kaz nipate mkwanja niende zangu clinical officer japo mambo ya utabibu hayako moyon kikubwa nipate tu mkwanja na uhakika wa ajira