Mr Chagonja was absolutely "off topic." He was only trying his best to be a loyal servant of his master! Hawa ni wale ambao wakistaafu hawataweza kukaa na jamii iliyoamka kama hii ya sasa. Nadhani anahitaji kuhurumiwa kuliko kitu kingine chote. Ila kweli aliongea kwa hasira kweli kweli mpaka nikawa nasema hivi mtu hawezi kuwa askari mpaka aongee kwa vitisho ndio aonekane yuko kazini!!!!!!! Pole chagonja ila uliigeuza kazi yako ya kipolisi kuwa ya kisiasa ama na wewe unajiandaa kugombea ubunge mwaka 2015?????