hili jengo ina maana linalizidi urefu lile la pale pembeni ya PPF Tower ni jengo la PSPF maana naona kama hilo ndo refu balaa..
LAPF wanajenga jingine pembeni ya Millenium Tower pale Kijitonyama, kitu kina urefu ghorofa 36
Ninakerwa sana na uendelezaji wa eneo ambapo mimi napaita mji mkongwe wa Dar es Salaam....
Hakuna maeneo mengine wajameni?????
jamani kwani hamna graphics za watu weusi au hilo jengo watakua wanaenda weupe tu
angalia hiyo picha the grand lobby
mnaopita huko mradi umefikia wapi
Limekamilika zamani sana hili jengo. Lakini siyo tallest. It is average. Halijafikia hata lile jengo la NSSF B.W.Mkapa Towers au Golden Jubilee
mnaopita huko mradi umefikia wapi
Haka kajengo kafupiiiii. Kamepitwa na vigorofa vya kariakoo