Kutoka WhatsApp Group nimepata hili.
=====
Kadri ya Rais Lovodymyry Zelensky wa Ukraine na Uteuzi wa Comedian Michopanga (Juma Chikako kuwa DC Rorya
Wakati vijana wengi wakikosoa bila hoja, kwa misukumo ya ukada wa vyama na agenda binafsi za kuonesha Rais Mhe SSH siyo makini..
Wote wanaohoji juu ya Mchopanga, eti kuwa comedian anapungukiwa sifa. Naomba mchukie habari ya Rais wa nchi ya Ukraine Mhe Zelensky. Huyu alikua comedian mkubwa huko lakini alipogombea urais aliaminiwa na kushinda uchaguzi kwa hoja zake siyo kwa
Hivyo nashangaa vijana wa Tanzania baada ya kusherekea vijana wenzetu kuaminiwa tunaanza kuangamizana.
Jamani vijana tupendane, tuwape nafasi waoneshe vipaji na uwezo wao. Kisha wahukumiwe kwa utendaji wao.
Mwisho.
Mungu wabariki wateule wote katika majukumu yao. Wazingatie utawala Bora na sheria za nchi. Watende haki kwa Watanzania wote.
=====
Kadri ya Rais Lovodymyry Zelensky wa Ukraine na Uteuzi wa Comedian Michopanga (Juma Chikako kuwa DC Rorya
Wakati vijana wengi wakikosoa bila hoja, kwa misukumo ya ukada wa vyama na agenda binafsi za kuonesha Rais Mhe SSH siyo makini..
Wote wanaohoji juu ya Mchopanga, eti kuwa comedian anapungukiwa sifa. Naomba mchukie habari ya Rais wa nchi ya Ukraine Mhe Zelensky. Huyu alikua comedian mkubwa huko lakini alipogombea urais aliaminiwa na kushinda uchaguzi kwa hoja zake siyo kwa
brand
ya vichekesho vyake.Hivyo nashangaa vijana wa Tanzania baada ya kusherekea vijana wenzetu kuaminiwa tunaanza kuangamizana.
Jamani vijana tupendane, tuwape nafasi waoneshe vipaji na uwezo wao. Kisha wahukumiwe kwa utendaji wao.
Mwisho.
Mungu wabariki wateule wote katika majukumu yao. Wazingatie utawala Bora na sheria za nchi. Watende haki kwa Watanzania wote.