Collaboration ya Magufuli, Kagame,Kenyatta, na Mseven,

Collaboration ya Magufuli, Kagame,Kenyatta, na Mseven,

kabwinyola

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2016
Posts
560
Reaction score
682
Habari, katika kufanya tafit mbali mbali nimebase katika kanda kadhaa hapa africa
Kaskazini,
Magharibi,
Kusini
Mashariki,

Nimegundua ukanda unaokuwa na viongozi imara ndio unaonufaika,
Maendeleo ya ukanda wa kaskazini yalichagizwa na rais, wa Libya, Tunisia, Algeria, na Misri ambao walikuwa marais imara katika ukanda uo na walishirikiana haswa kuleta umoja katika maendeleo,

Nikachunguza kwa wakati huu ukanda pekee uliobaki na viongizi imara japo asilimia 70 wanashutumiwa kuwa watawala wababe, lakin AFRIKA YA MASHARIKI kunaonekana kuwa na maraisi imara kuliko kanda zote zilizo baki, uimara wao umeangaliwa hivi
1. Kutoyumbishwa kwa wanayoyaamua juu ya maendeleo na waliyoyapanga,
2. Wanachukia rushwa na wana dhamira ya dhati kwa ilo.
3. Sheria weka pembeni na katiba lakin hakikisha kwanza tumetimiza lengo husika.
4. Wachapakazi wenye proven records,

Na katika ukanda wa Africa mashariki hawa wameonekana kuwa imara
1.Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, anaitwa bulldozer, kazi yake haina mfano, hajaribiwi na hataki kukwamishwa kwenye kuleta maendeleo, mchukia rushwa na mchapakazi haswa,
2.Rais wa Rwanda , Paul Kagame, enkoitani, yaani huyu ni mzee wa kazi tokea amekaa Rwanda kama kiongozi kairejesha katika msitari imara na ameleta maendeleo na aman nchini humo,
3.Rais wa Kenya , Uhuru Kenyatta, ni kijana mchapa kazi ambaye hayumbishwi na mataifa ya nje wala wapinzani wake katika maendeleo ana msimamo mkali na imara,
4. Rais wa Uganda ,Yoweri Kaguta Museven, wazungu na wababaishaji wana mtambua dhamira yake ya kweli katika kuleta maendeleo , na ni mchapa Kazi kaiimarisha Uganda mpaka ilipo kwa kutumia juhudi binafsi na maarifa,

Miaka 25 ijayo nauona ukanda wa Africa mashariki ukiimarika zaidi kimaendeleo kuliko sasa,
Kinachohitajika ushirikiano, uwajibikaji, uwazi, democrasia yenye tija kwa wananchi siyo democrasia holela, na ubunifu katika technology,

Mungu ibariki Africa, Mungu Ibariki Africa mashariki,
 
Miaka 25 ijayo afrika mashariki itakuwa maskini zaidi ya hapa tulipo, njaa, magonjwa, vita, na kila dhahama itakuwa juu yetu
Kagame Kenyatta sio wakuwaamini, the blood of innocent men n women is still calling them, huyo wa *ngoja nimwache tu
 
Ni vigezo gani umetumia kubashiri baada ya miaka 25, Afrika ya Mashariki itakuwa masikini zaidi ya hapa?

Kama umeshindwa kuwaamini kwa tabia zao, jaribu kuchunguza mambo wanayoyafanya katika nchi zao. Wote tunafahamu Kenya imekuwa nchi yenye uchumi wa kati kipindi cha Kibaki lakini jitihada za Kenyatta, uchumi wa Kenya umeimarika zaidi.

Vipi kuhusu Kagame na maendeleo ya Rwanda? Unahitaji maelezo gani ya ziada ili uweze kutambua uwepo wa Kagame katika nchi ya Rwanda?
Chukua mfano wa Libya then uliza swali jingine
 
Miaka 25 ijayo tutakuwa tumefyatua watoto zaidi ya mara mbili ya population iliyopo sasa
 

Afrika Mashariki

Jan-29-16-The-Butcher-of-Bunjumbura-595x450.jpg


Magufuli

June.22.16.Magufuli.the_.Police.The_.prosecutor.etc_-595x450.jpg

Nkuruzinza

July.04.16.Bensouda.Visits.Bujumbura-595x450.jpg


Mseveni

May.13.16.Swearin.in_.M7.for_.his_.filthy.000.term_-595x450.jpg


Kenyatta

Aug.24.16.Kiir_.Machar.ICC_.and_.Uhuru_-595x450.jpg


Magufuli

April.26.16.Careful.Magufuli.at_.Work_-595x450.jpg


Kagame

EA.Mar_.07.15.Kagame.on_.running.again_.for_.president-595x428.jpg


Sudan

April-27-Riek-Machar-returns-to-Juba-C-595x450.jpg


Mugabe

Aug.10.16.Mugabe.calls_.Emperor.Akihito-595x450.jpg


Kabila

Aug.14.16.Joseph.Mobut_.To_.Joseph.Kabila-595x450.jpg


Masikini Afrika Mashariki

Dec-12-EA-leaders-and-Burundi1-595x450.jpg


GADO-11.jpg

 

Afrika Mashariki

Jan-29-16-The-Butcher-of-Bunjumbura-595x450.jpg


Magufuli

June.22.16.Magufuli.the_.Police.The_.prosecutor.etc_-595x450.jpg

Nkuruzinza

July.04.16.Bensouda.Visits.Bujumbura-595x450.jpg


Mseveni

May.13.16.Swearin.in_.M7.for_.his_.filthy.000.term_-595x450.jpg


Kenyatta

Aug.24.16.Kiir_.Machar.ICC_.and_.Uhuru_-595x450.jpg


Magufuli

April.26.16.Careful.Magufuli.at_.Work_-595x450.jpg


Kagame

EA.Mar_.07.15.Kagame.on_.running.again_.for_.president-595x428.jpg


Sudan

April-27-Riek-Machar-returns-to-Juba-C-595x450.jpg


Mugabe

Aug.10.16.Mugabe.calls_.Emperor.Akihito-595x450.jpg


Kabila

Aug.14.16.Joseph.Mobut_.To_.Joseph.Kabila-595x450.jpg


Masikini Afrika Mashariki

Dec-12-EA-leaders-and-Burundi1-595x450.jpg


GADO-11.jpg

For this African countries will pay for the next hundreds years, until we as a continent go down and confront our realities. The true men of this continent are no longer
1 Patrice Lumumba
2 Thomas Sankara
3 Julius nyerere
4 Mandela
5 orliver thambo
6 Thom mboya
These people despite of their weakness but they knew what Africans want.
 
Habari, katika kufanya tafit mbali mbali nimebase katika kanda kadhaa hapa africa
Kaskazini,
Magharibi,
Kusini
Mashariki,

Nimegundua ukanda unaokuwa na viongozi imara ndio unaonufaika,
Maendeleo ya ukanda wa kaskazini yalichagizwa na rais, wa Libya, Tunisia, Algeria, na Misri ambao walikuwa marais imara katika ukanda uo na walishirikiana haswa kuleta umoja katika maendeleo,

Nikachunguza kwa wakati huu ukanda pekee uliobaki na viongizi imara japo asilimia 70 wanashutumiwa kuwa watawala wababe, lakin AFRIKA YA MASHARIKI kunaonekana kuwa na maraisi imara kuliko kanda zote zilizo baki, uimara wao umeangaliwa hivi
1. Kutoyumbishwa kwa wanayoyaamua juu ya maendeleo na waliyoyapanga,
2. Wanachukia rushwa na wana dhamira ya dhati kwa ilo.
3. Sheria weka pembeni na katiba lakin hakikisha kwanza tumetimiza lengo husika.
4. Wachapakazi wenye proven records,

Na katika ukanda wa Africa mashariki hawa wameonekana kuwa imara
1.Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, anaitwa bulldozer, kazi yake haina mfano, hajaribiwi na hataki kukwamishwa kwenye kuleta maendeleo, mchukia rushwa na mchapakazi haswa,
2.Rais wa Rwanda , Paul Kagame, enkoitani, yaani huyu ni mzee wa kazi tokea amekaa Rwanda kama kiongozi kairejesha katika msitari imara na ameleta maendeleo na aman nchini humo,
3.Rais wa Kenya , Uhuru Kenyatta, ni kijana mchapa kazi ambaye hayumbishwi na mataifa ya nje wala wapinzani wake katika maendeleo ana msimamo mkali na imara,
4. Rais wa Uganda ,Yoweri Kaguta Museven, wazungu na wababaishaji wana mtambua dhamira yake ya kweli katika kuleta maendeleo , na ni mchapa Kazi kaiimarisha Uganda mpaka ilipo kwa kutumia juhudi binafsi na maarifa,

Miaka 25 ijayo nauona ukanda wa Africa mashariki ukiimarika zaidi kimaendeleo kuliko sasa,
Kinachohitajika ushirikiano, uwajibikaji, uwazi, democrasia yenye tija kwa wananchi siyo democrasia holela, na ubunifu katika technology,

Mungu ibariki Africa, Mungu Ibariki Africa mashariki,

Nonsense
 
Back
Top Bottom