Ndoto za Alinacha. Hawa kina Slaa ni watu makini lakini we dont want a country run by eccentrics. Huyu Pinda nae kashajionyesha kuwa ni mtu wa dola asie na vision wala nini. Anapenda nchi, mzalendo mzuri tuu, relatively ni msafi na anaexperience nzuri na system..sema inaonekana kiutendaji lowassa alikuwa bora zaidi.. na haya yanasemwa na watu wa PMO. Hakuna kiongozi wa nchi hapa.. Slaa acha ajenge upinzani kwanza ukubalike na watanzania na uonyeshe njia... That is his purpose, criticisms zake bungeni na nje ya bunge zinahitajika..