Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Magufuli - president
Pinda - vice president
Slaa - Prime minister
Hapo vipi?
Pinda - vice president
Slaa - Prime minister
Hapo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kupitia chama ama utaratibu gani?
Hapo sawa. Lakini VP lazima atoke ZanzibarMagufuli - president
Pinda - vice president
Slaa - Prime minister
Hapo vipi?
Hapo sawa. Lakini VP lazima atoke Zanzibar
Ndoto za Alinacha. Hawa kina Slaa ni watu makini lakini we dont want a country run by eccentrics. Huyu Pinda nae kashajionyesha kuwa ni mtu wa dola asie na vision wala nini. Anapenda nchi, mzalendo mzuri tuu, relatively ni msafi na anaexperience nzuri na system..sema inaonekana kiutendaji lowassa alikuwa bora zaidi.. na haya yanasemwa na watu wa PMO. Hakuna kiongozi wa nchi hapa.. Slaa acha ajenge upinzani kwanza ukubalike na watanzania na uonyeshe njia... That is his purpose, criticisms zake bungeni na nje ya bunge zinahitajika..
haijakaa sawa hata kidogo,vigezo hafifu