ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,264
- 88,271
Ukiwaendekeza Mabeberu utakuja kugeuzwa na kupumuliwa kisogo 😆😆Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.
Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.
Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?
Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?
Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina
Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.
Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.
Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Anaweza kuwa rais mwenye mafanikio kuliko watano waliomtangulia, ukimchambua kwa haki lakini bila ya kwanza kumletea dharau za yeye kuwa mwanamke.Mkuu, unasoma mengi hata yasiyo kuwepo kwenye karatasi unayo soma.
Samia hana uzito wa kuwekewa maanani na hao wakubwa (mabeberu), kiasi cha kujihangaisha naye. Na hata mChina mwenyewe anajuwa Samia ni mpita njia tu, haachi alama yoyote huyu baada ya utawala wake.
Hakuna anayetaka kuwafukuza, wanaambiwa ukweli kama binadamu yoyote mwingine anavyostahili kuambiwa ukweli.Marekani inachangia zaidi ya dola bilioni 2.8 kila mwaka katika bajeti ya Tanzania.
Tuna ujeuri wa kuwafukuza? Migodi mikubwa ya dhahabu na Almas wanaimiliki wao hapa Tz
Muulize yeye maana kutwa anajimwambafy kuwa anafungua nchi.Lini nchi ilifungwa? Nyie ndiyo mna mpa reason ya kufanya madudu kama haya, sijawahi kuona hii nchi inefungwa, sijui huo msemo huwa unatoka wapi. North Korea kweli imefungwa na zamani China ilikuwa imefungwa siyo Tanzania
Hivi ni shenga ama chenga??Hivi ni mlemle ama mulemule?
Kiswahili kinataka kunipiga shenga ya mwili.
Jipange kunufaika na mahitaji yao ya chakula,kuna jamaa ye anauza mchicha china tangu 2015,ekari kumi za mchichaChina ardhi yao kubwa wameweka viwanda vingi sana na kuna sehemu serikali ililazimika iwauwe wananchi na kuwavunjia nyumba zao ili wasonge mbele kwa kujitanua kiuchumi
Hakufika hapo kwa kucheka
Sasa mashamba hakuna ya kutosha kwa kukidhi mahijaji yao na hata chakula cha mifugo yao
Unajua wanalenga wapi ili wazalishe chakula chao?
😂😂😂🤮Jipange kunufaika na mahitaji yao ya chakula,kuna jamaa ye anauza mchicha china tangu 2015,ekari kumi za mchicha
Hawa Wachina wana akili kubwa bossJipange kunufaika na mahitaji yao ya chakula,kuna jamaa ye anauza mchicha china tangu 2015,ekari kumi za mchicha
Sahii kabisa kuna watu aliwarudisha kwa hisia kwenye vyeo vyao, Amekuja kuwatoa wameshavuruga saana.Shida yake kuu aliposhika madaraka alianza kwenda kinyume na mtangulizi wake matokeo yake kila kukicha ukweli unajidhihirisha Hayati alikuwa sahihi kwenye maeneo mengi
.Amekuja kugundua haya muda tayari umeshamtupa mkono.
Huyu Bibi apumzishwe kabla hali haijawa tete,atatuingiza chaka ambalo kutoka itakuwa shida uko mbele!!Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.
Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.
Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?
Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?
Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina
Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.
Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.
Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Unazani yuko upande sahihi au unataka adumishe umoja na ulayaLeo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.
Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.
Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?
Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?
Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina
Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.
Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.
Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Kwa akili yako mchina na marekani Nani anaijenga Africa ? China na tz uhusiano mzuri haujaanza leoHuyu Bibi apumzishwe kabla hali haijawa tete,atatuingiza chaka ambalo kutoka itakuwa shida uko mbele!!
Mafala hao wasitupangie viongozi wetu ,.ndio maana tuna dili na wachina maana hawaingilii mambo ya ndani ya nchi..walitofautiana baada ya kumteua PAUL MAKONDA.
..yule bwana Wamarekani wanamtambua kama mhalifu na muuaji halafu Mama akampa uteuzi mara mbili.
..Ndio maana balozi wa Marekani alivimba kwelikweli wakati akijibu hotuba ya Mama.
China bado anastrugle hawezi saidia mama andanganywa na machawa
We punguani kweliHajielewi,dozi ya ARV haipungui 300 kwa mwezi,mnapewa bure na beberu leo mnawatukana