Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 555
- 661
Imekuwa kawaida kwa watu kuficha ujumbe kwenye codes ili tu ufikiwe na kundi lengwa.
Vivyo hivyo Mungu naye hutumia Codes kuwafikia watu wake.
Code yake ni Roho wake. Ukiwa naye unafahamu mambo yake, unajua analotaka ufanye, unasikia anachosema wakati wowote na mda wowote.
Ni vigumu sana kuacha dhambi, hasa kama huna nguvu ya Roho wa Mungu ndani yako ya kuiacha.
Roho wa Mungu huondoa kiu ya dhambi, hukupa mawasiliano ya moja kwa moja na mbingu zilizokuumba.
Sasa, ni wito uokoke, mkiri Yesu awe Bwana na mwokoz wa maisha yako, ili utakaswe na kuondolewa dhambi. Ukiwa safi hayo ni makazi ya Roho Mtakatifu wa Mungu, naye hakika ataishi ndani yako, atakaa na wewe...unakuwa mfano wa hekalu la Bwana na makazi ya ufalme wa Mungu.
Hii ndio code ambayo Mungu huwasiliana na watu wake walio duniani.
Vivyo hivyo Mungu naye hutumia Codes kuwafikia watu wake.
Code yake ni Roho wake. Ukiwa naye unafahamu mambo yake, unajua analotaka ufanye, unasikia anachosema wakati wowote na mda wowote.
Ni vigumu sana kuacha dhambi, hasa kama huna nguvu ya Roho wa Mungu ndani yako ya kuiacha.
Roho wa Mungu huondoa kiu ya dhambi, hukupa mawasiliano ya moja kwa moja na mbingu zilizokuumba.
Sasa, ni wito uokoke, mkiri Yesu awe Bwana na mwokoz wa maisha yako, ili utakaswe na kuondolewa dhambi. Ukiwa safi hayo ni makazi ya Roho Mtakatifu wa Mungu, naye hakika ataishi ndani yako, atakaa na wewe...unakuwa mfano wa hekalu la Bwana na makazi ya ufalme wa Mungu.
Hii ndio code ambayo Mungu huwasiliana na watu wake walio duniani.