Acha Maneno
Member
- Oct 6, 2018
- 49
- 96
Habari zenu,
Hivi ukienda kuogolelea peke yako Coco, mali zako unaziacha sehemu gani ili ziwe salama?
Hivi ukienda kuogolelea peke yako Coco, mali zako unaziacha sehemu gani ili ziwe salama?
Kuna MSIKITI hapo hapo Coco beach unaweza kuziacha humo ndaniHabari zenu,
Hivi ukienda kuogolelea peke yako Coco, mali zako unaziacha sehemu gani ili ziwe salama?
Unaenda na mfuko wa nailon,unaweka vitu vyako na kujifunga kiunoni.Ulinzi shirikishi.Habari zenu,
Hivi ukienda kuogolelea peke yako Coco, mali zako unaziacha sehemu gani ili ziwe salama?
Wameambiwa yanatoa nuksi.Watu wa pwani acheni ushamba,mnaogeleaje baharini maji mabaya hayo
Huu upuuzi wa kuandika humu?Habari zenu,
Hivi ukienda kuogolelea peke yako Coco, mali zako unaziacha sehemu gani ili ziwe salama?