kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,138
- 16,111
Coastal union ya tanga, jina la utani ni wagosi wa kaya mabingwa wa tanzania bara 1988 ni timu yenye historia ya kutoa wachezaji wenye vipaji na uwezo wa kucheza kandanda lenye kuvutia,ukiondoa simba na yanga ,coastal ndio klabu ya tatu yenye wapenzi wengi ndani ya mkoa wa tanga na nje ya mkoa .
Coastal union imetoa wachezaji kibao waliowika ndani na nje ya nchi na katika vilabu vya hapa nyumbani mfano mzuri ni kama 1.Elisha john
2.Saidi george
3.Alliy maumba
4.Salimu wazir
4.Mchunga bakari(marehemu)
5.Mohamedi salum
6.Hassan juma aka visikio(marehemu)
7.Kassa mussa
8.juma mgunda
9.Hemedi moroko
10.Hussein mwakuruzo
11.Razak yussuph carecca
12.Abuu yasini napili valment
13.saidi salimu kolongo mkristo
14.Salimu amiri
15.Titus bandawe
16.seif mtambo marehemu
17.Mwarami mohamedi
18.Douglas muhani
19.Tippo athumani tippo
20.Ally jangalu jangli
21.Duncan mwamba
22.Dany lyanga
23.Akida makunda
24.Abdallah bori
25.Mohammedi mwameja
26.Khamis makene
27.Mussa ricco
28.Abdallah shamuni
29.Twaha Abubakari
30.Goerge kavila
31.Idrisa ngulungu (marehemu)
32.Agrey chambo
33.Abubakari Hassani
34.Dunia Adonis(marehemu)
35.Riffati saidi
36.Paul okech mkenya
37.Esmail suma
38.Habibu mahadhi
39.Wazir mahadhi
40.Hassani mattani
41.Godes mjungu
42.Nurdin kasabalala
43.Kassim mwajeki
44.Kassimu mwabuda
45.mtindi ally
46.shekue saleh
47.Allly mwaliza
48.Mohamedi kampira
49.joseph lazaro
50.Dondo ally
Viongozi waliofanikisha timu kuchukua ubingwa ni Hans leopard mwenyekiti,abdalla gugu,iddi mapikiki,musilh salimu,mpishi alikuwa mama abijani doctor mzee mrisho supporter mkuu khamis mduruma bwana kaka,kijiwe maarufu sweetconer.
Coastal union imetoa wachezaji kibao waliowika ndani na nje ya nchi na katika vilabu vya hapa nyumbani mfano mzuri ni kama 1.Elisha john
2.Saidi george
3.Alliy maumba
4.Salimu wazir
4.Mchunga bakari(marehemu)
5.Mohamedi salum
6.Hassan juma aka visikio(marehemu)
7.Kassa mussa
8.juma mgunda
9.Hemedi moroko
10.Hussein mwakuruzo
11.Razak yussuph carecca
12.Abuu yasini napili valment
13.saidi salimu kolongo mkristo
14.Salimu amiri
15.Titus bandawe
16.seif mtambo marehemu
17.Mwarami mohamedi
18.Douglas muhani
19.Tippo athumani tippo
20.Ally jangalu jangli
21.Duncan mwamba
22.Dany lyanga
23.Akida makunda
24.Abdallah bori
25.Mohammedi mwameja
26.Khamis makene
27.Mussa ricco
28.Abdallah shamuni
29.Twaha Abubakari
30.Goerge kavila
31.Idrisa ngulungu (marehemu)
32.Agrey chambo
33.Abubakari Hassani
34.Dunia Adonis(marehemu)
35.Riffati saidi
36.Paul okech mkenya
37.Esmail suma
38.Habibu mahadhi
39.Wazir mahadhi
40.Hassani mattani
41.Godes mjungu
42.Nurdin kasabalala
43.Kassim mwajeki
44.Kassimu mwabuda
45.mtindi ally
46.shekue saleh
47.Allly mwaliza
48.Mohamedi kampira
49.joseph lazaro
50.Dondo ally
Viongozi waliofanikisha timu kuchukua ubingwa ni Hans leopard mwenyekiti,abdalla gugu,iddi mapikiki,musilh salimu,mpishi alikuwa mama abijani doctor mzee mrisho supporter mkuu khamis mduruma bwana kaka,kijiwe maarufu sweetconer.