ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Show za NPL zimesharudi na zinaendelea pale Tulipokuwa Tumeishia
Leo katika NBC Premier League Saa 10:00 jioni vinara Yanga SC watakuwa dimba la Mkwakwani kumenyana na Coastal Union. Yanga ataingia katika mchezo huu akiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi ya mwisho katika uwanja huu.
COASTAL UNION wamekuwa Katika Wakati Mzuri na Kocha Wao mwenye Morali ya hali Ya Juu. Amekuwa Kocha Bora wa Mwezi uliopita.
Je leo atalipa kisasi ama kichapo kitaendelea?
Mtanange huu utaruka LIVE Hapa Hapa JF.
========
00' Mpira umeanza uwanja wa Mkwakwani
30' Yanga inapiga kona pacha bila mafanikio.
40' ⚽Fistoo Kalala Mayele, anaiandikia Yanga bao la kuongoza kwa mpira wa kichwa akipata krosi safi kutoka kwa Djuma Shaaban
45+2' Mpira mapumziko
45' Mpira umerejea kutoka mapumziko
85' Mayele anakwenda bench nafasi yake inachukuliwa na Makambo
89' ⚽Saidooo anamaliza mchezo baada ya kasi kadhaa ndani ya 18 na kuachia mkwaju unaoingia golini.
90+3' Sopu anapiga free kick matata na kugonga mwamba
95' Mpira umekwisha uwanja wa Mkwakwani
Leo katika NBC Premier League Saa 10:00 jioni vinara Yanga SC watakuwa dimba la Mkwakwani kumenyana na Coastal Union. Yanga ataingia katika mchezo huu akiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi ya mwisho katika uwanja huu.
COASTAL UNION wamekuwa Katika Wakati Mzuri na Kocha Wao mwenye Morali ya hali Ya Juu. Amekuwa Kocha Bora wa Mwezi uliopita.
Je leo atalipa kisasi ama kichapo kitaendelea?
Mtanange huu utaruka LIVE Hapa Hapa JF.
========
00' Mpira umeanza uwanja wa Mkwakwani
30' Yanga inapiga kona pacha bila mafanikio.
40' ⚽Fistoo Kalala Mayele, anaiandikia Yanga bao la kuongoza kwa mpira wa kichwa akipata krosi safi kutoka kwa Djuma Shaaban
45+2' Mpira mapumziko
45' Mpira umerejea kutoka mapumziko
85' Mayele anakwenda bench nafasi yake inachukuliwa na Makambo
89' ⚽Saidooo anamaliza mchezo baada ya kasi kadhaa ndani ya 18 na kuachia mkwaju unaoingia golini.
90+3' Sopu anapiga free kick matata na kugonga mwamba
95' Mpira umekwisha uwanja wa Mkwakwani