Media tanzania imekufa, there is no mediaMedia zetu zimebaki kuonyesha bongo muvi na bongo fleva za nyege nyegezi habari za uchunguzi hawana habari nazo.
Genge la kina Balile TEF kazi yao ni kumsifia mama badala ya kusimamia maadili ya uandishi wa habari.
Kina Ayo, Mahela macho ni kwenye vibahasha na kuhudhuria matamsha ya misosi na kuripoti matukio ya harusi.
Shame you all Tanzania Media, journalists, na mabaraza yenu yote, jukwaa la wahariri TEF shame on you ikiwemo wizara ya habari.
unaweza kufungua media yako pia ukapost 😂Media zetu zimebaki kuonyesha bongo muvi na bongo fleva za nyege nyegezi habari za uchunguzi hawana habari nazo.
Genge la kina Balile TEF kazi yao ni kumsifia mama badala ya kusimamia maadili ya uandishi wa habari.
Kina Ayo, Mahela macho ni kwenye vibahasha na kuhudhuria matamsha ya misosi na kuripoti matukio ya harusi.
Shame you all Tanzania Media, journalists, na mabaraza yenu yote, jukwaa la wahariri TEF shame on you ikiwemo wizara ya habari.
Mkuu! Unamaanisha Sam Mahela,Mahela
Hayo maswala hawafanyi viongozi wa kenya bibie ni wananchi wa kenya wanaokemea uhalifu wa binadamu you damn concubine kamhudumie mumeo achana nasi WakenyaKWAKWELI!
... a failed state, Kenya, is very busy trying to drag Tanzania into the hell hole they created for themselves knowingly!
Kenyan leaders should redistribute land to their poor citizens first, instead of trying to shift their attention to TZ!
🤣 😅
Poa poa turudi kwenye mada husika.KWAKWELI!
... a failed state, Kenya, is very busy trying to drag Tanzania into the hell hole they created for themselves knowingly!
Kenyan leaders should redistribute land to their poor citizens first, instead of trying to shift their attention to TZ!
🤣 😅
Poa poa turudi kwenye mada husika.
we maskini wa forex, subiria dec 9 uuzie watu coursesHayo maswala hawafanyi viongozi wa kenya bibie ni wananchi wa kenya wanaokemea uhalifu wa binadamu you damn concubine kamhudumie mumeo achana nasi Wakenya
Hayo maswala hawafanyi viongozi wa kenya bibie ni wananchi wa kenya wanaokemea uhalifu wa binadamu you damn concubine kamhudumie mumeo achana nasi Wakenya
bado hujasema na utasema dec 9We omba watalii waje usife njaa maana wabongo haweaz fit dau lako we mtu mkndu mbovu unauza laki mbili kwa bao unakaakili kweli wewe round hii utauza 10k
YaNchi Inamatatizo Lukuki Media Inatumia Masaa Zaid Ya 8 Kwasiku Kuzungumzia Michezo
Media Matangazo Yao Mengi Michezo Ya Kubahatisha
Uweledi Utatoka Wap Hapo Bongo Hmn Media
mtoto wa singo maza kaza msuli uuze course bila hivo kila sku utakua unalia njaa 😂We omba watalii waje usife njaa maana wabongo haweaz fit dau lako we mtu mkndu mbovu unauza laki mbili kwa bao unakaakili kweli wewe round hii utauza 10k
Ndio yeyeMkuu! Unamaanisha Sam Mahela,
Kama mtu anatekwa hadharani na wananchi wanaangalia na wengine kupita kando unataka wahariri wafanyeje kwa gharama ya nani? Though wao ndio wametufikisha hapa kwa uchawa waoNchi Inamatatizo Lukuki Media Inatumia Masaa Zaid Ya 8 Kwasiku Kuzungumzia Michezo
Media Matangazo Yao Mengi Michezo Ya Kubahatisha
Uweledi Utatoka Wap Hapo Bongo Hmn Media