CMA:wanachelewesha hukumu sana!!

cheguevara

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
1,348
Reaction score
653
Habari,
Wadau leo wapo wafanyakazi ambao kesi/migogoro kati yao na serikali imeshasikilizwa lakini ni zaidi ya miezi mitatu sasa wengi hawapati maamuzi kwa kuzungushwa na hao waamuzi wa tume ya usuluishi pasipo sababu za msingi,serikali inawafukuza watumishi maramoja lakini CMA inawaadhibu tena kwa kuchelewesha maamuzi,Rais lione hili kuwe na kikomo cha muda wa kutoa uamuzi kwani watumishi wengi wa serikali wananyanyasika kwa kucheleweshewa hukumu pasipo sababu za msingi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…