Club Legends with DJ JD for real!!

Hahaha,
Hivi umeelewa hata nlichoandika hapo ??
Coco bwana, nimesema siwezi kuonana na wewe hata wakinilazimisha kwa bunduki.
Wala sijakutukana mkuu....Makonda Oyee.

Baada ya kuandika nikakumbuka nimechemka... nipo hapa nadonoa Mzee yupo nje anaongelea ya kutuingizia pesa eeeeh

Haya najua hujanitukana..
 
Kasie naomba nikulipie nauli ya kuja DAR Tucheze wote mziki mpaka asubuhi kisha kila mtu kwake,hakuna yale mambo yetu ya Enzi zile Mazengo road
 
Kasie naomba nikulipie nauli ya kuja DAR Tucheze wote mziki mpaka asubuhi kisha kila mtu kwake,hakuna yale mambo yetu ya Enzi zile Mazengo road

Hahahahaaa looh ofa hii naanzaje kuikataa looh..

Kasie mie am tempted to touch the heat. .....

Thanks for the offer, am in. Ntakwambia siku ambayo nakuja.

Cheers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…