Ruge etal ni watu wanojifanya miungu watu, wanajifanya wasipofanya shughuli yako eti haitafanikiwa,
walisema Sugu hatakuwa mbunge wa mbeya ..sasa wawseme tena,
wao sio Mungu ila ni kikundi cha watu wachache kinachopora mali, fedha na haki za wasanii, Jaydee alikataa kutapeliwa na hichi kikundi ndiyo maana wanamsakama.
Watafute njia nyingine ya kutafuta fedha na siyo kuwapora wasanii na ndiyo maana wengi wamebaki ombaomba hawana kitu Ref: Mangwea (R.I.P)