herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 30
cloud ni kampuni ya mtu/watu binafsi c ya serikalihatuwez kulalaikia maamuz yao
Jamani ye mwenyewe alishaandika wosia kuwa Clouds wasijishughulishe nae hata akifa pia.. sasa nyie mnataka wafanye nn
Vizur kwa nukuu ya kuwakumbusha maneno ya komando... make naona humu watu wanaochangia kwa kujitoa ufahamu.
Kinachofanyika clouds ni utekelezaji wa kauli ya jide..
Msiwalaumu ndo utashi wa jide.
Vizur kwa nukuu ya kuwakumbusha maneno ya komando... make naona humu watu wanaochangia kwa kujitoa ufahamu.
Kinachofanyika clouds ni utekelezaji wa kauli ya jide..
Msiwalaumu ndo utashi wa jide.