MPENDA USAWA
Senior Member
- Oct 15, 2012
- 169
- 30
Hivi vipindi vingine jamani naomba viangalia utu....maana naangalia hiki kipindi cha huyu uwoya mpaka kimenifanya nimebadilishe Channel.
Kama unaamua kumsaidia mtu sio lazima kumjulisha kila mtu....huo unakuwa sio msaada unakuwa ni uzalilishaji maana bibi wa watu anashindwa kujielezea mpaka analia.
Hivi vitu vingine wakati mnaiga mkumbuke suala zima la maadili jamani na Utanzania.Kwa ukweli kipindi hiki kinachoitwa PARADISE sijakipenda....jaribuni kuwa wabunifu ktk njia nyengine kama hili mmeshindwa.
Kama unaamua kumsaidia mtu sio lazima kumjulisha kila mtu....huo unakuwa sio msaada unakuwa ni uzalilishaji maana bibi wa watu anashindwa kujielezea mpaka analia.
Hivi vitu vingine wakati mnaiga mkumbuke suala zima la maadili jamani na Utanzania.Kwa ukweli kipindi hiki kinachoitwa PARADISE sijakipenda....jaribuni kuwa wabunifu ktk njia nyengine kama hili mmeshindwa.