MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 169
Mkuu, hao hawajaanza kudharau walimu leo, hasira zao za total failure wanapelekea walimu, fuatilia sababu ya kufikia hicho kibarua, trace tu ufaulu wao tangu primary utakupa ushahidi, IQ ZAO BWANA, IZ BELOW ZERO ACTUALLY...
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.
Hawana maadili wale jamaa,kwanza baraza la kiswahili linataka kuwafungulia kesi kwa kuongoza kuharibu lugha ya kiswahili bado tu wanaendelea kuzarau waalimu namna hiyo?
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
Tatizo lenu mleta mada na baadhi ya wengine mmekurupuka ...je mmefuatilia tukio lililotokea pale mwananyamala shule ya msingi...kati ya mwalimu mkuu na mzazi je kitendo alichofanyiwa yule mzazi na mwanae ni haki...?? Hebu wekeni pembeni ushabiki wa channel huyu mwalimu ningekuwa mimi ningefia jela...kwa jinsi alivyo mnyanyasa huyu mzazi ambaye alienda kufuatilia risiti za michango pale shule....kwa kuwa serikali yetu imeharibu mfumo mzima wa uongozi...kitendo cha mwalimu mkuu kumsukuma yule mama nakudondoka chini kisha kuwatuma wanafunzi wake wamzomee na kumpiga mawe yule mama ni unyama na si maadili je hawa watoto si ndo kesho wataanza kuwashikia watu mawe na hata kuwapiga kisa tu mwalimu mkuu kawafunza sasa maadili yapo wapi...?? Hebu tufikilie kidogo na kufuatilia kwa umakini hili swala ndo mje kukoment...ila si mlaumu mleta mada kwani akuandika kipi na sababu..ya mada yake juu ya walimu .ni ngumu kwa mtu kuelewa mleta mada alikuwa na maana gani...samahanini kama nitakuwa nimekosea ila assume yule mama ni mama yako ungefanya nini...??? Asanteni.
Mkuu siku nyingine jaribu kupitia ulichoandika kabla ya kupost.
Mkuu samahani sana, it's too personal lakini naomba kujua, umesoma shule ya msingi hapa hapa Tanganyika ama?