kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Anadhan Wote tunaangalia au kusikiliza hicho kipindihabari nusu nusu,uko shule mlienda kusomea nini!!!!!!!!!!!!!!😡😡😡😡😡😡
Show inayoendelea sasa hivi,luh!Ni ubunifu mkuuubwa!Huyu jamaa Koyo ni hatari mno!!
Kwa mara ya kwanza,nawapongeza sana!
Ila akiingia wcb tu,kwisha habari yake![/
tatizo kubwa la clouds tv sauti yao ni mbaya sana sijui hawana sound engnr??au ni hapa kwangu tuu??
Alafu alivyo mwehu eti tusikilize cloudsKama ulijijua una haraka, ungesubiri upate muda ndo uje hapa utuletee hicho ulichotaka na sisi tukijue! Ona sasa ushafeli
Kwaiyo lengo lako tusikilize clouds na sio kutuhabarisha ulichosikia/ona?Sikiliza clouds ila bahati mbaya kipindi ndo kinaisha
Jamaican weed!Show inayoendelea sasa hivi,luh!Ni ubunifu mkuuubwa!Huyu jamaa Koyo ni hatari mno!!
Kwa mara ya kwanza,nawapongeza sana!
Ila akiingia wcb tu,kwisha habari yake!
Habari fupi fupi kama hizi uwe unamuhadithia mkeo chumbani kwako....Show inayoendelea sasa hivi,luh!Ni ubunifu mkuuubwa!Huyu jamaa Koyo ni hatari mno!!
Kwa mara ya kwanza,nawapongeza sana!
Ila akiingia wcb tu,kwisha habari yake!