Mbona nyie ni redio kubwa tu??? Why mnafanya vitendo vya kitoto? Ni kitu gan mnachoogopa kutoka kwa EFM??
Watangazaji mnawaacha wenyewe tena wengine mnawadharilisha wakat mnawaacha ila wakienda kwa wenzenu na wakafanya vizur mnawafata na kumwaga hela kuwarudisha? Mlio nao hawawatoshi?
Haitoshi jamaa wakiandaa event na nyie mnaandaa the same day!! Shida nini? Mbona mna nidham ya uoga?
Mbona EFM ni redio ndogo bado mnachoogopa kutoka kwao ni kipi? Au kwa sababu inaendeshwa na kijana kama nyie mnajua ananjaa ya mafanikio hivyo atawasumbua tofaut na Mengi aliyejizeekea??
Halaf kabla y kufanya maamuzi muwe mnafikiria!! Mlidhan pengo la PJ kuna mtu ataliziba asubuh?


mmechemka na kurudia matapishi idiot!!
Niwashaur tu hata Fredwaa mtoen hapo na mmpe kipindi chake atakachoendesha anavyotaka ili ule ubora wake akiwa RFA uonekane tofaut na hapo mnamfanya awe ka taahira flan kuchekacheka na kuongea pumba
Acheni chuki kwa EFM
Watangazaji mnawaacha wenyewe tena wengine mnawadharilisha wakat mnawaacha ila wakienda kwa wenzenu na wakafanya vizur mnawafata na kumwaga hela kuwarudisha? Mlio nao hawawatoshi?
Haitoshi jamaa wakiandaa event na nyie mnaandaa the same day!! Shida nini? Mbona mna nidham ya uoga?
Mbona EFM ni redio ndogo bado mnachoogopa kutoka kwao ni kipi? Au kwa sababu inaendeshwa na kijana kama nyie mnajua ananjaa ya mafanikio hivyo atawasumbua tofaut na Mengi aliyejizeekea??
Halaf kabla y kufanya maamuzi muwe mnafikiria!! Mlidhan pengo la PJ kuna mtu ataliziba asubuh?



mmechemka na kurudia matapishi idiot!!Niwashaur tu hata Fredwaa mtoen hapo na mmpe kipindi chake atakachoendesha anavyotaka ili ule ubora wake akiwa RFA uonekane tofaut na hapo mnamfanya awe ka taahira flan kuchekacheka na kuongea pumba
Acheni chuki kwa EFM