Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,844
- 141,217
Binaafsi namkubali sana kibonde ila anafika sehemu analewa sifa na tatizo lake pseudo knowledge aliyonayo ktk mambo mengi so kama unaamini ni mtu anayefaa anafaa kuongeza ujuzi wa kitaaluma.
Mimi ni miongoni mwa watu wasiokubaliana na censorship ila nadhan its right time kujengea uwezo wabongo ili wawe na knowldge walau robo ya mambo duniani nimewahi kumsikia huyu ndugu akiongelea inflation ni aibu......clouds fm wa goodwill strong sana kuliko chombo chochote lakini lazima kuzijua zama hizi si za kusadikika
Kusema ukweli hawa jamaa wa clouds wanajitahidi kujipambanua kama media house inayoendeshwa kisasa ila ukiwasikiliza kwa makini utagundua wanamuelekeo wa kujipendekeza serikalini badala yakuwa neutral!
Hapo tu ndio penye utata, inawapasa wajue wanawajibu wa kusimama katikati ili kuwatendea haki wasikilizaji hawana budi kujua jamii ina watu wenye mitazamo tofauti tofauti. Kama tujuavyo media zina kazi kuu mbili nazo ni kuelimisha na kuburudisha hivyo wajiepushe na issue za kujipendekeza, some times wanapotosha issues, sijui ni intentionally or unintentionally! kwenye mazuri tutawaambia na kwenye mabaya tutawaambia! Hapa tz kuna tabia inataka kujengeka kwamba mtu/ taasisi akikosolewa inakuwa kama uadui vile!! bila kukosolewa watu hudhani wao ndio wanajua kila kitu!!
Clouds ni chombo binafsi cha habari na kina haki ya kuwa na mrengo wowote ule kisiasa na kwa kufanya hivyo hawavunji sheria yoyote ile inayoongoza vyombo vya habari.
mkuu ... hatari ninayoiona hapa kwa kuelemea upande fulani kisiasa ni kuyumbisha biashara kwani hata wateja watajibagua .... ninaamini mmiliki wa clouds alianzisha hii redio kwa malengo ya kibiashara na si kueneza siasa ...although its possible anaweza kuwa ana benefit kwa ku practice siasa egemezi kwa upande fulani ... backlash itatokea pale patakapotokea na change of rule
Well...so far the market forces haven't done that! Clouds is still very popular.
<br />mwandshi wa habari mtaalamu ni PJ ila hao wengine mkuu ni macommentator tu
<br />Kibonde ni commentator. Yeye anatolea maoni kuhusu current events. Sasa kama kwenye current events kuna habari za mambo tofauti tofauti atatoa maoni yake kulingana na ufahamu wake.<br />
<br />
Kipindi cha Jahazi si straight up journalism. The program is general opinion-based. Don't tune in to it if you are looking for any expert opinion. Ndiyo maana kukiwa na jambo ambalo linahitaji uchambuzi wa kuhusiana na fani husika huwaga wanakuwa na mgeni mtaalamu wa hilo jambo.<br />
<br />
Watanzania inabidi muelewe kuwa tasnia ya habari ni pana na haihusiani tu na kukusanya, kuandika, kuzihariri, na kuzirusha tu habari. Hata uchambuzi jumla wa kimaoni nayo ni sehemu ya tasnia ya habari.
Nyani Ngabu, nakuomba umshawishi Kibonde ajiunge JF ili awe anajibu hoja zilizoelekezwa kwake moja kwa moja.
Mkuu unamaana na wewe ni zimwi?Hana muda wa kujibizana na mazimwi!
<br />Nimekuwa mfuatiliaji wa hii Radio lakini ninashindwa kuelewa mwelekeo wao katika kutoa habari.Inaonekana kana kwamba haina ulazima wa kusomea uandishi wa Habari ama kuwa na taaluma inayohusiana na Habari ili uwe unatoa habari,kutangaza, kutoa uchambuzi wa maswala mbali mbali kwenye vyombo vya habari nk<br />
<br />
Mfano Kibonde amekuwa mchambuzi wa mpira yeye ,maswala ya siasa,kiuchumi,mtaalamu wa habari maswuala ya kivita mfano sakata/vita liliyokuwa linaendelea libya nk.<br />
<br />
Kwa mtazamo wangu wapo watu wenye vipaji tofauti na wanaoweza kumudu vyema kila sector,ila huwa hawa watangazaji mara nyingi wanaelezea hisia zao kupelekea kituo kuwa cha kueneza majungu badala ya habari.<br />
<br />
Hivi hakuna vigezo vya kitaaluma vinavyotakiwa kwa hawa wamiliki pindi wanapoanzisha hivi vyombo vya habari?
We unajua?Watu humu hawajui kabisa tofauti ya journalist, newscaster, editor, wala commentator.
Hana muda wa kujibizana na mazimwi!