Clouds FM utangazaji huu unakera

Clouds FM utangazaji huu unakera

Na wana vipindi 7 tu kwa siku.....full matangazo siku nzima, yaani afadhali hata PB sikipendi kipindi cha sijui xxl, huwa sielewi wanaongea nini zaidi ya makelele, kipindi chao bora ni sports extra tu....


Nayenyewe shafii anakiaribu kipindi kile sio mtangazaji na mchambuzi ila ni msemaji namshabiki wa tim flan
 
  • Thanks
Reactions: ram
Mbona mahojiano yalikuwa mazuri tu, au mnataka mnachofikiria nyie ndicho kitokeee. Kikubwa yule ni Mbunge wa CCM na wengi wetu humu ni wale tusiopenda mazuri kwa wenzetu wa ccm so Kitendo cha Mhe. Mbunge kuonekana umezushiwa ile stori kwetu ni KERO, Hajahojiwa vizuri, Redio iliyomhoji ni Ovyo nk. Tuache Chuki, tupendane Daima na Kamwe Adui yako Usimwombee Njaa. Asbh njema Watanzania wenzangu.

Wewe mbona hueleweki sasa unamtetea mbunge au clouds fm, watu walitaka kujua nini hasa kilijili kwa undani uhovyo wa clouds ikashindikana, sasa hayo ya uccm na upinzani unayatoa wapi
 
siku hizi siwapi muda wangu kuwasikiliza. matangazo, promo, more matangazo, upuuzi and the circle starts again
 
Jana Norman kapigiwa simu na mtangazaji fulani ivi jioni akaulizwa kuhusu kashfa zinazozunguka akajibu.. 'Bora umenipigia simu maana kuna watu huwa hawaulizi ni ngumu sana kwa utawala huu kuchukua mshahara wa wafanyakazi wengine alafu akakata simu..' Ha ha ha ha dah siasa izi bana
 
Utangazaji wa hovyo umeanzia hapo clouds mgeni mualikwa anaambiwa samahani tutakuwa tukikatiza maongezi yako yaani hayo maongezi huambulii kitu zaidi ya matangazo hivi mtu ukiwa mchora katuni tanzania ni lazima uwe mtangazaji(upuuzi wa kipanya)
 
Jamani tunaomba tukubari mapungufu ya utawara wetu wamebanwa na utawara arafu uwa wanatoa muda murefu kuzungumzia mambo ya kuheremisha jamii poa wameniuz sana kumkatisha mwanasheria mkubwa nchini
 
Back
Top Bottom