Clouds FM utangazaji huu unakera

Clouds FM utangazaji huu unakera

Nimesikiliza ila sijaona tatizo inawezekana baadhi ya wasikilizaji wana vitu vyao wanataka wavisikie nway radio zipo nyingi tu,unaweza badilisha channel au ukazima radio kabisa
Sikuona tatizo lolote. Nampongeza KP kwa kubadilisha mwelekeo wa kipindi, kuna kitu anataka kukifanya pale PB ila hataki haraka, amekuwa akiwaalika watu ili ku clarify mambo yanayojiri. Tumemsikia akimuhoji Lipumba na pia Mtatiro. Jamaa anajitahidi na anaonyesha ukongwe ni dawa.
 
NDO MAtatizo hayo..luck of speciallization in journalism professinal....
 
Kipind pekee ninachosikilizaga clouds ni sport extra tyuu,,,maana radio ishapoteza mvuto ipo kisiasa na kinafk zaidi!!!!!!!!
 
Kinachozungumziwa hapa ni radio siyo Mhe Mbuge, mambo ya mbuge watawala watasema kama ni kweli ama la.
 
Huo muda wa kuwaskiliza watu wa hivyo mnautoa wapi??? Clouds nliichukia tangu nlipoanza kuisikiliza kwa mara ya kwanza, halafu sina uhakika km watu wake wana taaluma za hiyo kazi
 
Szjj
nlisikikiza asubuh kipanya amekashifu sana wale watu wanufaika wa TASAF wale wa kaya maskin...jamaa kawakashifu utadhan hana ndugu maskini yan!!!!iliniboa sana ila ilibid nskilize maana nlikuwa katika daladala
K
 
Nadhani siku serikali ikitaka watangazaji wa redio na TV wawe na vyeti vya hyo fani nadhani makonda fm &TV hatobaki mtu pale coz wote ni wahuni tu hakuna mtangazaji ndo maana huwezi kukuta mtangazaji wa radio hii kachukuliwa na radio yeyote wa maana au kimataifa zaidi ya EFm
 
Ivi kwanini kila MTU anaiongelea clouds media group, tena wanaiongelea vibaya tu?
Ivi kwanini?..... Nimeuliza Swali.
 
Hapa nchini redio yangu ni KISS FM tu ya Mwanza. Hawanaga upuuzi wale mabwana
 
Mbona mahojiano yalikuwa mazuri tu, au mnataka mnachofikiria nyie ndicho kitokeee. Kikubwa yule ni Mbunge wa CCM na wengi wetu humu ni wale tusiopenda mazuri kwa wenzetu wa ccm so Kitendo cha Mhe. Mbunge kuonekana umezushiwa ile stori kwetu ni KERO, Hajahojiwa vizuri, Redio iliyomhoji ni Ovyo nk. Tuache Chuki, tupendane Daima na Kamwe Adui yako Usimwombee Njaa. Asbh njema Watanzania wenzangu.
Jifunze kusoma "between the lines " nani kasema kwa sababu yule ni mbunge wa CCM?? Hoja ni kuwa hawajamtendea haki…… kabla hajakamilisha kutoa maelezo wao wameweka yao kiasi hata unashindwa kupata message vizuri msikilizaji…sio kila kitu ccm au UKAWA!
 
kwani mwenyewe kamaind?au kipindi kizima kilikuwa ni interview yake?

anyway ila kipindi kibaya zaidi ni Jahazi,matusi kama sio watu wazima,hovyo kabisa
 
Jifunze kusoma "between the lines " nani kasema kwa sababu yule ni mbunge wa CCM?? Hoja ni kuwa hawajamtendea haki…… kabla hajakamilisha kutoa maelezo wao wameweka yao kiasi hata unashindwa kupata message vizuri msikilizaji…sio kila kitu ccm au UKAWA!
Mpompompo huyo mkaushie
 
Mbona mahojiano yalikuwa mazuri tu, au mnataka mnachofikiria nyie ndicho kitokeee. Kikubwa yule ni Mbunge wa CCM na wengi wetu humu ni wale tusiopenda mazuri kwa wenzetu wa ccm so Kitendo cha Mhe. Mbunge kuonekana umezushiwa ile stori kwetu ni KERO, Hajahojiwa vizuri, Redio iliyomhoji ni Ovyo nk. Tuache Chuki, tupendane Daima na Kamwe Adui yako Usimwombee Njaa. Asbh njema Watanzania wenzangu.
Kipindi kilikuwa cha hovyo mno,ni vile tu wife ndio ali tune kwenye gari na niliogopa kumkera.
 
Mbona mahojiano yalikuwa mazuri tu, au mnataka mnachofikiria nyie ndicho kitokeee. Kikubwa yule ni Mbunge wa CCM na wengi wetu humu ni wale tusiopenda mazuri kwa wenzetu wa ccm so Kitendo cha Mhe. Mbunge kuonekana umezushiwa ile stori kwetu ni KERO, Hajahojiwa vizuri, Redio iliyomhoji ni Ovyo nk. Tuache Chuki, tupendane Daima na Kamwe Adui yako Usimwombee Njaa. Asbh njema Watanzania wenzangu.
Umeelewa kinacholalamikiwa au mkurupuko tu???
 
Mmemwita mtu kwenye kipindi chenu PB leo tar. 19/10/2016, (Prof. Norman Sigara ) mb. Kwa nini msimuache akasimulia tatizo lake tumsikilize badala ya kila mara ku-interfere the talk??

Inafika mahala mtangazaji unakuwa kama hiyo story unaijua in and out na mliyemwalika ni kama mmetaka tu afike kuonyesha mme balance story!

Mwisho wao unakuja mbwa hawa wanakera balaa
 
Back
Top Bottom