DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Mmemwita mtu kwenye kipindi chenu PB leo tar. 19/10/2016, (Prof. Norman Sigara ) mb. Kwa nini msimuache akasimulia tatizo lake tumsikilize badala ya kila mara ku-interfere the talk??
Inafika mahala mtangazaji unakuwa kama hiyo story unaijua in and out na mliyemwalika ni kama mmetaka tu afike kuonyesha mme balance story!
Inafika mahala mtangazaji unakuwa kama hiyo story unaijua in and out na mliyemwalika ni kama mmetaka tu afike kuonyesha mme balance story!