JETM
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 435
- 378
Kwa jinsi anavoongea hassan ngoma kuhusu watumishi wa umma kurejesha fomu tume ya maadili kama mh Raisi alivyofanya unaona kabisa huyu mtu kama si yy basi ni mpango maalum walikokubaliana na mhariri/msimamizi wa vipindi. Huwezi kusema mtu aliyelazwa hospital atoke ili aende kurejesha kabla ya muda. Au kama upo mortuary utoke ukarejeshe. Sasa jiulize mortuary unatokaje.