lord kelvin
New Member
- Jun 28, 2016
- 2
- 0
Hey! Jamani nataka kujua kitu mm sijapita kuingia MD .lakini in form 6 leaver naombeni mnisaide .Nasoma advance diploma ya clinical officer au ordinary diploma ya clinical officer afu ndio naingia MD! Na kama ni hivyo vyuo gani no vizuri kwa hii fani???