clever picture!!

NG'ADA

Senior Member
Sep 2, 2011
152
15
kidogo inataka ujanja...ukiitazama.
 

Attachments

  • leo.jpg
    28.7 KB · Views: 106
  • leo.jpg
    25.7 KB · Views: 252
Mkuu hiyo picha ni kama imebandikwa usawa wa bomba la moshi wa hilo basi. Hiyo ni mitaa ya Oslo kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ni mitaa ya Nasjonalteatret (National Theater) kwa mbali naona jengo kama la mfalme vile na winter (snow) bado imekomaa. Na hiyo statement hapo "Klar å slutte? Ni sawa na kuuliza "Je uko tayari kuacha? Sio basi la magamba hilo wadau!!!!!
 
kaka asante sana..watu kama nyie ndio great thinkers...kuna watu wasipoelewa kitu basi wanaita ni upuuzi...sio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…