Clemence Mwandambo: Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, watu wanaoishi kwa kodi zetu kwa sasa wanatunyanyasa

Clemence Mwandambo: Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, watu wanaoishi kwa kodi zetu kwa sasa wanatunyanyasa

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Clemence Mwandambo: Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, watu waoishi kwa kodi zetu kwa ndio wamekuwa wanatunyanyasa, wewe fikiria afisa mtendaji tu anajisikia boss lakini anaishi kwa kodi zetu, walimu nao Polisi kuanzia Uniform zao, bunduki hadi mshaara ni kwa sababu ya kodi ya wananchi

Lakini ndio wamekuwa maboss na kunyanyasa wananchi ambao ndio mabosi
 
Maajabu ya nane ya dunia yanapatikana tanzania,

unakuta mwananchi analalamika kuwa serikali inamuumiza,
serikali inachofanya ni kumteka huyo mwananchi na kumuumiza zaidi,
baada ya hapo serikali itaamua impoteze kabisa au imuachie huru na kumuambia "TUMEKUSAMEHE".
 
Halafu utakuta watu wanatukana matusi kwa kuitetea serikali hii, malofa wengi sana nchini Tanzania
 
Back
Top Bottom