CLEARING AND FORWARDING OFFICER

CLEARING AND FORWARDING OFFICER

SUNDIATAKEITA

Senior Member
Joined
Jan 1, 2015
Posts
157
Reaction score
89
Habari, anahitajika kijana mwenye certificate au diploma ya Clearing and forwarding.

Kwa mwenye uhitaji atume VYETI kweny email hii

hamishusna07@gmail.com

NAFASI NI MOJA, OFISI ZIPO POSTA DSM. wakwanza kuwasilisha Maombi atapewa kipaombele.
 
Habari, anahitajika kijana mwenye certificate au diploma ya Clearing and forwarding.

Kwa mwenye uhitaji atume VYETI kweny email hii

hamishusna07@gmail.com

NAFASI NI MOJA, OFISI ZIPO POSTA DSM. wakwanza kuwasilisha Maombi atapewa kipaombele.
Kuna kijana hana hizo qualfications ila anausoefu wa zaidi ya miaka mitatu na kazi hizo nikuunganishe naye.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna kijana hana hizo qualfications ila anausoefu wa zaidi ya miaka mitatu na kazi hizo nikuunganishe naye.

#MaendeleoHayanaChama
"Anausoefu" ..... Angekuwa na "uzoefu" ingependeza zaidi.

Shimbonyi shafo mangi....
 
Back
Top Bottom