ni kweli ile ni nchi inayojitegemea na tanganyyika ni nchi inayojitegemea hakuna cha muungano wanatuzuga hawa viongozi mm nilinunua vitenge na khanga nikatoa ushuru yaani shidaaa tupu
Nashukuruni kwa mchango wadau na nimewasiliana na mmojawetu. Zanzibar na Tangayika mbalimbali
Fikiria gari ililipa ushuru na kupewa registration kwa mil 1.52. Lakin kuileta bara unalipa nyongeza karibia mil 4.
Nashukuruni kwa mchango wadau na nimewasiliana na mmojawetu. Zanzibar na Tangayika mbalimbali
Fikiria gari ililipa ushuru na kupewa registration kwa mil 1.52. Lakin kuileta bara unalipa nyongeza karibia mil 4.
Nakuunga mkono mkuu. Mbaya zaid huwezi kuja na gari lako toka zanzibar had Tanganyika kwa hali yoyote ile! Wakat gari lenye usajiri wa nchi nyingine unaingia na kutoka bila vikwazo kwa kufata sheria rafiki.